kaka/dada hayo maandiko tu lakini hayaheshimiwi. Kunja ndoa inawezekana, Cha kufanya Huyu dada aende kwa padri amweleze kilichomsibu na pia aende kwa ustawi wa jamii, kabla ya mahakama, mahakama inataka uthibitisho kwa aliyefungisha ndoa kwa maelezo ya kueleweka yaliyotolewa both mume na mke, pia ustawi wa jamii unatia mkono wake kisha ndo aende mahakamani kwa kuvunja ndoa rasmi.
Ugumu uko kwa mapadre hawa ni ma Concevative acha kabisa kukubali ni issue, ukipata bahati akakubali basi mahakamani inakuwa issue ndogo, inatakiwa uwe na uwezo wa kukonvice mapadre other wise usubili kifo kiwatenganishe.
mapadre wana msimamo sijapata kuona. wagumu sana.
Hafu dada kama huhitaji kitu kwake amani tu, hakuna haja ya mahakama si usikae naye tu kila mmoja aishi kivyake kama anataka kuoa aoe au roho itakuuma, mi naona hata bila mahakama unaweza kumpiga chini, ukachukua hamsini zako na zake. Kwani atakushitaki au bado unampenda.
Hafu kwa nini huwa anakupiga? Hivi mtu anaweza kupigwa hivi hivi tu from no where? na wewe utakuwa mtata kiasi fulani.