ajili ibrahim
Member
- Aug 19, 2013
- 73
- 3
Jaman wakuu naomba mnijuze kuusu chuo cha makumila kipo Arusha kitaaluma , mazingira yake, na vp kuusu maisha yahapo chuo kwa ujumla tafadhalini naomba msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman wakuu naomba mnijuze kuusu chuo cha makumila kipo Arusha kitaaluma , mazingira yake, na vp kuusu maisha yahapo chuo kwa ujumla tafadhalini naomba msaada
Bishop samy@ da umenitisha kidogo inamaana makumira university kwa upande ya kaakademiki ipo chini xio na vp location yake ipo mjini kabisa au?
chuo kipo poa sana ila kama ulizoea kula chabo wakati wa mitihani hapa utanoa tunatumia CCTV cameras katika mitihani .majengo ni ya maana sana kama vipi vist www.makumira university.go.tz.utakacho kiona ni real pia kuhusu ACCOMODATION chuo kipo poa kwa madadazetu ila mamen lazima ukae mtaani kama vp chek hapa 0783785439
hah ha cctv, chezea parsalaw wewe
Oxlade@kwaiyo kwama mazingira hayo unanishauri niandae kama shiling ngap ili nisije nkaumbuka ktk miji ya watu màana Arusha mm xna ndugu wala jamaa yeyote
mzee wa afro
tx nt tru banah hostel zpo zakutosha ukitaka kukaa nje umependa mwnyw mbona,,, chuo kiko poa kmazngra na kitaaluma pia n akiko mbal na town xo u a most welcom bt displine z very important
mkuu makumira kuna hostel za kutosha? ni kweli uyasemayo? waambie vijana ukweli ili wakifika wajue pa kuanzia la sivyo watakula msoto wa kufa mtu aisee kuhangaika kutafuta vyumba
Bishop samy@ da umenitisha kidogo inamaana makumira university kwa upande ya kaakademiki ipo chini xio na vp location yake ipo mjini kabisa au?
baba Ibra,taaluma me naona ni moderate sana,some how gd,but not much,ila mm nalia na research na propasal zao kweli ziko poor,nimepitia baadhi walizo fanya ths year grama,lang,poor sana but zimekubalika,baba makumix pako gd kiasi ila ukilinganisha na udm makumix is exclent,lauli kutoka mosh ni 2500 - 3000,kutoka chuon mpaka town ni ts600,--kila ukipanda gari may be kutoka mji mdogo wa usa au tengeru kuja makumix ni Tsh@400, karibu sana Arusha
HahaHahaha eti ukilinganisha na udom..duh
mkweli siku zote lazima apingwe,me ndio nakuambia makumix some how wako poa kuliko udom,utaki unaacha sio lazima,mesipendi sana kulinganisha chuo na chuo but habari ndio hiyo,no ligi on this,