Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Jaman naomba mnisaidie kuhusu ni wapi naweza pata Mashine ya kusaga inayoweza tumia mota ya hs 60. Kwa sabab n nina mashine niliyotengezesha mtaan inasumbua kweli kila SIKU inapasuka. Walau iwe na uwezo wa kusaga walau hata tan moja na nusu kwa saa