ni model gani kati ya hayo yenye HP 75-99 itanifaa kwa hapa kwetu? ndio swali. Mkuu nimeshajaribu kuakses webs kadhaa za wauzaji nimejua specs na bei pia..
MF-185
SOURCE: belltractors.com
Heshma mbele wadau,
Nimeamua kufanya kilimo sehemu za eastern na central zone,nilikuwa nahitaji trekta na kwasababu nguvu yangu kipesa si kubwa sana nimeona nitafute used tractor (napendelea Massey Ferguson) ila sijajua kwa hali yetu huku ni model gani itanifaa zaidi,ila kwa kuanzia nilikuwa nina wazo la model ya MF 3075-3090 ambayo ni Horse Power 75-99 sasa sijajua spareparts zake upatkanaji wake hapa, kama yana usumbufu wowote na fuel consumption.
Wadau wenye uelewa zaidi wa matrekta haya naomba tupeane elimu.
Nawasilisha.
Horse power 75 linatosha sana mkuu kwa TZ inashauriwa tractor isiwe chini ya horse power 55,Kwa Suma JKT Farm Track ni vimeo bora ununue New Holland lakini MF ni nzuri kwa TZ cause spare parts zake zinapatikana kirahasi,kama unaweza kupata John Deere ni ya ukweli zaidi na spare parts zake zimeanza kupatikana nchini japo sio sana kama MF ila zina nguvu sana
Kuokoa wino mi ngoja nikuite 7yi! Hapo vp?(itikia , hapo powa!) asante kwa ushauri wako,naufanyia kazi.unajua nilipita pale suma jkt wakati mmoja lakini sikuridhika sana nafsi yangu.n way tuyaache hayo. pia nimeona matrekta ya John Deere kwa kweli ni ya ukweli lakini pia niya gharama kuanzia bei zake, spare parts zake ukiachilia mbali upatkanaji wa mafundi wake espeshali litakapokufia wakati upo shamba huko porini.thanks dude
wadau nawashukuruni sana.wote mmenipa mchango mzuri sana (na bado walio na uzoefu tunaweza kueleweshana zaidi) na sasa naanza kuifanyia kazi..
Aksanteni