NusuMutu
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 421
- 87
Heshma mbele wadau,
Nimeamua kufanya kilimo sehemu za eastern na central zone,nilikuwa nahitaji trekta na kwasababu nguvu yangu kipesa si kubwa sana nimeona nitafute used tractor (napendelea Massey Ferguson) ila sijajua kwa hali yetu huku ni model gani itanifaa zaidi,ila kwa kuanzia nilikuwa nina wazo la model ya MF 3075-3090 ambayo ni Horse Power 75-99 sasa sijajua spareparts zake upatkanaji wake hapa, kama yana usumbufu wowote na fuel consumption.
Wadau wenye uelewa zaidi wa matrekta haya naomba tupeane elimu.
Nawasilisha.
Nimeamua kufanya kilimo sehemu za eastern na central zone,nilikuwa nahitaji trekta na kwasababu nguvu yangu kipesa si kubwa sana nimeona nitafute used tractor (napendelea Massey Ferguson) ila sijajua kwa hali yetu huku ni model gani itanifaa zaidi,ila kwa kuanzia nilikuwa nina wazo la model ya MF 3075-3090 ambayo ni Horse Power 75-99 sasa sijajua spareparts zake upatkanaji wake hapa, kama yana usumbufu wowote na fuel consumption.
Wadau wenye uelewa zaidi wa matrekta haya naomba tupeane elimu.
Nawasilisha.
