Msaada kuhusu mdudu kwenye kidole

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Wadau toka juzi nimepatwa na maumivu makali kwenye kidole, mara baada ya kuuliza nikaambiwa kuna mdudu kaingia kidoleni, so kwa sasa nina hali ya maumivu makali eneo la kidole cha kati.

Mwenye kuweza kujua dawa tafadhali tujulishane.

Nawasilisha.
 
Mkuu mara ya mwisho umepima lini afya yako?
 
Huna sindano mkuu cku zote hzo chukua pini mchomoe kama unatoa funza kaz kwisha
 
Wadau toka juzi nimepatwa na maumivu makali kwenye kidole, mara baada ya kuuliza nikaambiwa kuna mdudu kaingia kidoleni, so kwa sasa nina hali ya maumivu makali eneo la kidole cha kati.

Mwenye kuweza kujua dawa tafadhali tujulishane.

Nawasilisha.
hebu weka picha mkuu?
 
Mkuu mara ya mwisho umepima lini afya yako?
[emoji115] Kupima afya ni mara moja kwa mwaka, au pengine uhumwe ndiyo nafasi ya kupima!.
Wewe ulitaka kusema nini, maana unatoka nje ya topic kilanja..!!

Ndulele weka atakufa huyo mdudu
Ndulele ndiyo nini? Hebu nisaidie, yawezekana kabila lako mnaita tofauti na mimi mkuu..!!
 
Wadau toka juzi nimepatwa na maumivu makali kwenye kidole, mara baada ya kuuliza nikaambiwa kuna mdudu kaingia kidoleni, so kwa sasa nina hali ya maumivu makali eneo la kidole cha kati.

Mwenye kuweza kujua dawa tafadhali tujulishane.

Nawasilisha.
Ponda kitunguu swaumu funga hapo utapata matokeo mazuri
 
Paronychia=Soft tissue infection around the finger nail.

Inasababishwa na Bacteria au fungus hasa kwa watu wanaoshika maji ovyo,wafanyakazi wa Ndani,Wabeba mawe

Matibabu yake ni Kutumbua(incision and drainage)

Ila kama bado hakijaiva unaeza kutumia dawa za maumivu kama vile Diclofenac/Brufen/Indocid kama huna vidonda vya tumbo na pia Paracetamol

Pia waweza kutumia antibiotic kama vile Cloxacillin/Ampiclox/Amoxicillin plus metronidazole kinaweza kukauka kabisa.

Kama kiko na maumivu sana ni bora uende hospitali ya karibu dr atajua kama ni kutumbua au akupe dawa.

Pole Ndugu
 
[emoji115] Kupima afya ni mara moja kwa mwaka, au pengine uhumwe ndiyo nafasi ya kupima!.
Wewe ulitaka kusema nini, maana unatoka nje ya topic kilanja..!!

Ndulele ndiyo nini? Hebu nisaidie, yawezekana kabila lako mnaita tofauti na mimi mkuu..!!
Vitunda fulani vinavyofanana na nyanya chungu ndogo.
 
Tafta ndulele ukate kidogo ukiingize ndani ya ndulele utapona fasta ukikosa ndulele nenda hospital watakufanyia minor operation
 
Tatizo mnapenda kuchokonoa pasipo...tafuta ndulele au maji ya m alovela uweke kisha umuone daktar
 
Kiongozi asante sana kwa good advice, ila kwa first aid najaribu hizi natural remedies.
bryan2
 
mkuu hilo tatizo juzi j2 nimekutana naye anatatizo hilo nikamuona amechukua maji ya betry ndio kasema ni dawa ya mdudu,unapaka sehemu yenye mdudu then patakauka kbs.sasa kama umepona kwa kutumia ndule nijulishe pia nitaenda kumuliza yule aliyetumia maji ya betry kama amepona.
 
Sawa mkuu, but nlitumia kitunguu saumu mixed na tangawizi inaivisha haraka sana pamoja na dawa za kutuliA maumivu as directed by doctor, na nina maendeleo muswano Aisatu.
 
Kitunguu swaumu + maji ya betri unachanja kidole kidogo then funga na kitambaa vizuri utapona haraka sana mm mwenyewe mwez uliopita yalinikuta hayo ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…