Msaada kuhusu mfumo wa ajira

Msaada kuhusu mfumo wa ajira

judy0

Member
Joined
Mar 28, 2021
Posts
43
Reaction score
163
Habari za siku nyingI wana jf?
Poleni sana na kazi.

Nijielekeze kwenye maada. Natatizwa sana na namna mfumo wa maombi ya ajira TAMISEMI unavyofanya kazi hadi kupata idadi inayohitajika.
*Hivi mfumo unachaguaje watu?
*Naamini kuna watu wanaousimamia na kuulinda mfumo usiingiliwe, je unalindwa na watu wangapi?
*Je hao watu ni watu wanaojulikana au la? Vipi kuhusu uaminifu wao katika kuingilia huo mfumo ili kuingiza watu wao?
*Je n mfumo unafanya kazi tangia mwanzo hadi mwisho bila kuhusisha manual work?

Aliye na uelewa na huu mfumo wa TAMISEMI anitoe kibanzi tafadhari. Maelezo ya DM napokea pia.
Asante
 
We tafuta CONNECTION tu hakuna kinachoshindikana chini ya JUA
 
Kupata ajira za tamisemi ni kama betting tu..kuna watu kipindi cha magu walikuwa wanapata ajira tamisemi na mwingine unakuta hata sifa zilizotangazwa hana...
 
Kupata ajira za tamisemi ni kama betting tu..kuna watu kipindi cha magu walikuwa wanapata ajira tamisemi na mwingine unakuta hata sifa zilizotangazwa hana...
Kweli kila kitu n kamali acha tucheze tena hizi kamali
 
Habari za siku nyingI wana jf?
Poleni sana na kazi.

Nijielekeze kwenye maada. Natatizwa sana na namna mfumo wa maombi ya ajira TAMISEMI unavyofanya kazi hadi kupata idadi inayohitajika.
*Hivi mfumo unachaguaje watu?
*Naamini kuna watu wanaousimamia na kuulinda mfumo usiingiliwe, je unalindwa na watu wangapi?
*Je hao watu ni watu wanaojulikana au la? Vipi kuhusu uaminifu wao katika kuingilia huo mfumo ili kuingiza watu wao?
*Je n mfumo unafanya kazi tangia mwanzo hadi mwisho bila kuhusisha manual work?

Aliye na uelewa na huu mfumo wa TAMISEMI anitoe kibanzi tafadhari. Maelezo ya DM napokea pia.
Asante
Si Tamisemi tu, hata secretariate ya ajira za umma ni uozo mtupu licha ya kuvunjwa na kuundwa upya. Ni maumivu kwa wazazi na vijana wanao hangaishwa kulipia nauli kwenda usaili ambao tayari unajua uwezo wa kupita ni hakuna. Hakuna shortlisting. Usishangae wanaitisha watu 6000 kwa nafasi 1.
 
Kamali ni probability, ajira Tanzania interview ni geresha, tayari kuna wateule.
Hapa ndipo nachokaga. Sasa sisi ambao hatuna wakubwa huko majuu tunasota sana na haya maisha
 
Si Tamisemi tu, hata secretariate ya ajira za umma ni uozo mtupu licha ya kuvunjwa na kuundwa upya. Ni maumivu kwa wazazi na vijana wanao hangaishwa kulipia nauli kwenda usaili ambao tayari unajua uwezo wa kupita ni hakuna. Hakuna shortlisting. Usishangae wanaitisha watu 6000 kwa nafasi 1.
Inahuzunisha kwa kweli, tena kwenye huu utawala ambao watu wanajipakulia vinono tu sisi akina UPIYILE NDAGYA FIJO ajira tutazisikia tu
 
Back
Top Bottom