Msaada kuhusu movie ya TENET

Dduh. Kazi yote ya nini hii kuangalia movie isoeleweka. Kheri hata niangalie Tom and Jerry [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Hahahah hii kitu ilikuwa sio poa nliangalia na jamaa yangu, yeye ni of the smartest lakin ilibid tutulie wote turudie huku tunachambua tulidiscuss kama ka project flan,hatukuelewa vyote though[emoji28]
 
Hivi Fohadi mwanangu nakuambia naanza kutazama Tenet na hata hujanitonya muujiza nitakaokutana nao, nimetazama mpaka nimepata kizunguzungu maana sielewi, ikabidi nije huku kwenye kisima cha maarifa, nakuta tupo wengi..!!πŸ˜‚
😁😁😁😁😁 Doooh pole....nilijuw we jiniaz utajiongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…