Msaada kuhusu NSSF

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Habari

Hivi claims status kwenye account ya NSSF ikibadilika na kusomeka APPROVED.

Huwa inachukua siku ngapi mpaka kuingiziwa pesa zako?
 
Mara nyingi huwa ni ndani ya siku tatu.wakichelewa sana haizidi week
Hongera sana kwa kufikia hiyo hatua. Maana naelewa mtiti wa nssf ulivyo na usumbufu.
 
Mara nyingi huwa ni ndani ya siku tatu.wakichelewa sana haizidi week
Hongera sana kwa kufikia hiyo hatua. Maana naelewa mtiti wa nssf ulivyo na usumbufu.
Shukran mkuu
 
Anytime tegemea kupata message kutoka bank kuwa pesa imeingia.
Wanavyokuandikia approved, means imeidhinishwa malipo yafanyike,so hapo watu wa idara ya uhasibu ndiyo wako wanakuandalia cheque yako.
 
Anytime tegemea kupata message kutoka bank kuwa pesa imeingia.
Wanavyokuandikia approved, means imeidhinishwa malipo yafanyike,so hapo watu wa idara ya uhasibu ndiyo wako wanakuandalia cheque yako.
Well noted
 
Wakuu hivi na ukiwa umeapply michango yako ije kwenye mfumo ya michango ya hiari toka kwenye ile ya mwajiri na ikawa approved huwa inachukua muda gani michango kuhamishiwa kwenye mfumo ya michango ya hiari? Maana nikiangalia salio naona bado hawajaondoa malipo waliyonipa kwenye miezi 6 ya fao la kukosa ajira.
 
☝🏿
 
Samahani,hivi michango kuja kwenye HIARI inakupa Faida gani baadaye??maana sijaelewa
 
Navyojua ikiwa kwenye hiari unauwezo wa kuchukua fedha zako bila kuwekewa habari ya asilimia 33.3
mmhhh,sio rahisi hivyo ndugu,ingekuwa hivyo wote wangefanya hilo zoezi ili walipwe Pesa zao zote,hakuna anayependa kuacha Pesa yake NSSF huku akiteseka mtaani,hao jamaa(NSSF) ni wasumbufu utafikiri Pesa ni zao,wapuuzi sana
 
Anytime tegemea kupata message kutoka bank kuwa pesa imeingia.
Wanavyokuandikia approved, means imeidhinishwa malipo yafanyike,so hapo watu wa idara ya uhasibu ndiyo wako wanakuandalia cheque yako.
Siku hizi wanainguza benki hakuna cha cheque
 
Mtu kasubmit madai nssf tarehe 3 Oct jana kaingia nssf portal kakuta benefit claim status paid, akashangaa maana hela haijaingia kwenye bank akaunti yake[emoji1787][emoji86]
Wapo vzuri japo wanakera tu kwa kutoa nusu ya mshahara mimi wameniingizia juz tu hapo 22
 
Mara nyingi huwa ni ndani ya siku tatu.wakichelewa sana haizidi week
Hongera sana kwa kufikia hiyo hatua. Maana naelewa mtiti wa nssf ulivyo na usumbufu.
je ikiwa inasoma pending huwa ndani ya mda gani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…