Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Kama umeolewa ndoa yako inapitia shida nyingi, Kama hujaolewa ukiendelea hivyo ndoa utazisikilizia kwenye radio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooohhh okayMmeo ana Kazi
[emoji134] [emoji134] Sasa mkuu kwa style hii wengine tutaoa kweli 1M-3M ya kwenye urembo na mavazi tu hujafanyia kitu cha maana?? au kwa kuwa yeye pesa sio shidaMkuu, [HASHTAG]#Joseverest[/HASHTAG],
Nilimsikia Sepenga, akiwa interview sehemu kabla upepo wa sembe haujavumia kwake na kutakiwa kituo cha polisi kati na bado akiwa chama dola akasema nywele kwake ni Tshs 1 m, nguo na viatu na madini (jewelry) jumla kuu Tshs 3m.
Mkuu, Tshs 150,000/= wao wengine wanasema ni bei ya Big G a.k.a JoJo.
sasa mkuu akikwambia anataka 150 hautampa?150k ndio si hela ya kuchezea, but kugharamia kitu ukipendacho inaongeza thamani ya hicho kitu.
Binafsi sio mfuasi wa nywele bandia na siwezi kumruhusu mpenzi wangu kuzisuka, ishu si gharama ila kutozipenda tu.
Akizitamani afuge zake ziwe ndefu.
NB: usipompendezesha mUpenzi, watampendezesha wengine. Halafu kinachofuata sasa....... !
Nayajua mkuu ila mengine too much sasaMkuu hao kila kiungo chao ni gharama.
Masikio-hereni za dhahabu
Shingo-cheni ya dhahabu
Pua-kipini cha silver
Mikono-bangili za dhahabu
Kiuno-Shanga za zari zari
Mguu-Ka breclet ka dhahabu
Mkuu ulikua huyajui haya?[emoji2]
Hio ni sawasawa na mende kuangusha kabati Mkuusasa mkuu akikwambia anataka 150 hautampa?
Hahaha wanasema usipompendezesha utapendezeshewa na njemba nyingineHio ni sawasawa na mende kuangusha kabati Mkuu
bei ya nywele za crotchet ni sh ngapi..normally ina range vp and bunda ngapi litatosha kwa kawaida, kwa wale ambao mnazisukaga hizi.
na bei ya kusuka ni 30,000 au wamenichuuza?
150k ndio si hela ya kuchezea, but kugharamia kitu ukipendacho inaongeza thamani ya hicho kitu.
Binafsi sio mfuasi wa nywele bandia na siwezi kumruhusu mpenzi wangu kuzisuka, ishu si gharama ila kutozipenda tu.
Akizitamani afuge zake ziwe ndefu.
NB: usipompendezesha mUpenzi, watampendezesha wengine. Halafu kinachofuata sasa....... !
Inategemea na salon unayoenda kwa mimi ninapoenda kuna moja 120,000/= kila kitu kwao na nyingine 150,000/= napo kila kitu kwao
[emoji134] [emoji134] Sasa mkuu kwa style hii wengine tutaoa kweli 1M-3M ya kwenye urembo na mavazi tu hujafanyia kitu cha maana?? au kwa kuwa yeye pesa sio shida
Mamy kuna zile za weaving sikujua kama anasemea hizo😉😉😉mhh mwanangu chrochet hizi laki nannusu ? na bunda zake si 8000 tu ? mhh mie nimesukiaga 20000/ nikawa mcharo hatari ! nadhan umemix madesa
au wewe unasema wig lake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeshangaa lakini nikabaki[emoji40]mhh mwanangu chrochet hizi laki nannusu ? na bunda zake si 8000 tu ? mhh mie nimesukiaga 20000/ nikawa mcharo hatari ! nadhan umemix madesa
au wewe unasema wig lake
Mamy kuna zile za weaving sikujua kama anasemea hizo😉😉😉
[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] kweliHa haaaa haaaa haa ha ha ha
Mkuu, [HASHTAG]#Joseverest[/HASHTAG],
Kumbuka, kila mtu ana pesa ila tunatofautiana kwenye matumizi.
Kama umeolewa ndoa yako inapitia shida nyingi, Kama hujaolewa ukiendelea hivyo ndoa utazisikilizia kwenye radio
Ungeulizia hizo bei nilizotaja ni za hizo rasta or not kama mamy alivoniuliza na sio kunifanya nionekane muongo coz mimi sikujua kama anazungumzia hizo......nenda kaulizie bei basi kwa aristotee au kwa texture beauty salon au unafikiri nadanganya na hata nikidanganya itasaidia nini!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeshangaa lakini nikabaki[emoji40]
Umepanic mama. I didn't offend you anywhere,Take chill pills then..Ungeulizia hizo bei nilizotaja ni za hizo rasta or not kama mamy alivoniuliza na sio kunifanya nionekane muongo coz mimi sikujua kama anazungumzia hizo......nenda kaulizie bei basi kwa aristotee au kwa texture beauty salon au unafikiri nadanganya na hata nikidanganya itasaidia nini!!
Halafu elewa kuna crochet za aina tofauti.....upo????