mwambunnyara
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 518
- 208
Taasisi tajwa hapo juu nimekuwa nikiisikia sikia tu, kuwa inajihusisha na maswala ya kukopesha fedha kwa haraka, na riba zao naskia in ndogo sana, tofauti na Bayport, kwa mwenye taarifa sahihi za hawa watu naomba atupe ufafanuzi, then kama kuna MTU anajua wanapopatikana ndani ya manispaa ya Morogoro naomba atujuze pia,
ahsanteni wanna wa jukwaa murua !
ahsanteni wanna wa jukwaa murua !