Asante sana mkuu. Kwa taarifa walizonipa, wameconsult registrar, wakaambiwa hilo jina lina mwenyewe, hivyo yeye ndo mtu pekee wa kuwaruhusu. Hapo hapo wakadraft conscent, ndo nikafikilia,kwa vile alieituma ni mwanashelia, nadhani pia mimi inanilazimu kupata maarifa kishelia, nisije jibana sehemu bila kujua.Kwa me nilivyoelewa, wanataka kuchukuwa haki yako bila kujua, ndiyo maana wamekuja kwa mtindo huo. Ukisaini tu, utajikuta umewapa haki yako ya jina la kampuni bila kujua. Kwa msaada zaidi tafuta mwanasheria akueleweshe kuhusu hicho walicho kituma. Be careful
Ndugu wapige hela haoNatumaini hamjambo.
Nina jambo ambalo linahitaji muongozo:
Nina Kampuni,imesajiliwa kwa jina furani. Imejitokeza kampuni nyingine, yenye jina kama la yangu. Activities ni tofauti. Sasa, wanaomba niwaruhusu watengeneze trademark logo ya kampuni yao. Alieniandikia, ni mwanasheria, anadai ni mwakilishi wa hiyo kampuni.
Wamedraft conscent, wakanitumia, huku wakiomba niisign na iwe na mhuri wa notary.
Kwa anaeelewa haya maswala, naomba muongozo.
Ndo nataka mwanashelia aniambie inakuwaje. Maana huenda nikaichukulia poa, kumbe ni issue nzito. Kwanza hapa bado Trademark Logo ndo sijaelewa maana yake ujue.Ndugu wapige hela hao
Komaa hata 100mlNdo nataka mwanashelia aniambie inakuwaje. Maana huenda nikaichukulia poa, kumbe ni issue nzito. Kwanza hapa bado Trademark Logo ndo sijaelewa maana yake ujue.
Sawa mkuu. Asante kwa ushauliKomaa hata 100ml