Daah pole sana mkuu na pole kwa Dada !!.
Embu naomba usiishie kumwambia ,hakikisha anaanza kutumia !!
Jitahidi sana ,haya masindano hayafai yanawapa unafuu wamuda mfupi mfupi.. .mwambie ajitahidi aanze , ili kukata tabu zake zamara kwa Mara , alafu pia bamia kwa Wanawake NIMUHIMU KTK MAMBO MENGI SAN.
so itakua inamsaidia ktk PUMU simultaneously inamsaidia mambo mengine mwilin..
Nirahis,, haina garama ,haina maumivu , na Inaokoa ,taratib taratibu anajikuta kapona !! Naikiwezekana Asiache kutumia hii kitu .