Msaada kuhusu UTI

cipro zinaumiza[emoji22][emoji22]
umaskini mbaya Sana ,kila nikiuza simu haiuziki basis nikafanye haYo makacha
 
tunatakaga kupona
tatizo hela
hakunaga anaependa kuumwa.
ndio maana tunakazna kuuliza dawa, tukiambia hizokacha ndo tunanyong'onyea kabisa
Kweli kabisa, naamini kwenye hospitali za serikali ni nafuu tofauti na Hospital binafsi lkn kama unavyojua huduma za hospitali zetu,unamwambia dawa nimetumia zaidi ya mara mbili yeye anakupa tu, ukimwambia nifanyie kipimo flani anakwambia unanifundisha kazi,kinachofuata heri usepe tu kishingo upande
 
ndio maana tunazidi kuumwa... maana dawa nazo ni tatizo
 
tunatakaga kupona
tatizo hela
hakunaga anaependa kuumwa.
ndio maana tunakazna kuuliza dawa, tukiambia hizokacha ndo tunanyong'onyea kabisa
Kweli kabisa hakuna anayependa kuumwa mimi hii hali ya kusema nna ugonjwa mwilini inaniumiza saana
 
Si kama yalonikuta namwambia cipro hizo hazikunisaidiaa ananiandikia ananipa na masharti ya kutumia chooo
 
Jaribu CEPHATEXIN CAPSULES nimetoka kumaliza doz sio siku nyingi naona maumivu sina tena yaan nimepona. Na ikiendelea zaid nenda kachome shindano.
 
Mm pia Nina tatzo kama hilo na mda mwingine mkojo unakuwa Na damuu Na maumivu makal upande ilipo figoo nimepiga ultrasound wamesema kidney ina maji(hydronephrosis) nimefanya culture Na sensitivity test nimeambiwa na gram negative bacilli xaxa natumia ofloxacin .ilaa hili tatzo linajirudia maana b4 nilichona power safe 5 likaja tenaa sahv natumia Hiyo dawa ilaaa napataga maumivu makal sanaa
 
pole Sana, Kama kuna alieleta huu ugonjwa alaaniwe[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] tunashindwa kuishi kwa amani
 
Daaa hapo kwakweli mpaka natishika inaamaana namimi ntaweza kuwa nahangaika ivo ivoo ndugu yangu mpka culture umepiga sensitivity sijui umepiga ultra sound umepiga na bado unaumwa mie hata hiyo hela naikuta wapi jobleess miee daaa
 
Daaa hapo kwakweli mpaka natishika inaamaana namimi ntaweza kuwa nahangaika ivo ivoo ndugu yangu mpka culture umepiga sensitivity sijui umepiga ultra sound umepiga na bado unaumwa mie hata hiyo hela naikuta wapi jobleess miee daaa
Utaponaa tyuu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…