Msaada kujua gharama ya kufyatua tofali 4,800

Achana na standards za kiwanda wewe, that’s way too perfect... eti water should be clean, sand should be dry!!

Uliona wapi?

Hapa tunaongea uhalisia huku saiti na sio kwenye makaratasi.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hiyo cement 20,000 wapi hiyo?
 
Ita fundi, tafuta bei ya materials, bei ya mashine kununua au kukodi, vibao pia; take a pen and a paper Piga hesabu!

Mie sijui maswali mengine mnaulizaga mnakuwa na malengo gani!
We jiulize swali jepesi tu...anaeuza tofali faida anaipataje? Hiyo faida ndo inaokolewa hapa
 
Utaokoa takribani milioni mbili, kulinganisha na kununua zilizo tayari.
Kimahesabu ni sawa ataokoa pesa ila itabidi apoteze na muda kwa ajili ya usimamizi wakati tofali linafyatuliwa na umwagiliaji Maji wa tofali hizo, akishindwa hapo ni sawa na bure.
Utakuja kupigiwa tofali 60 kwa mfuko na zisimwagiliwe kiuhakika mafundi wakaishi kwa kuuza cement na pesa ya Maji .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…