Mama Nehemiah
JF-Expert Member
- Sep 9, 2018
- 244
- 439
- Thread starter
- #81
Bado
Je?umepata wa kukufanyia kazi iyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je?umepata wa kukufanyia kazi iyo?
19 [emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]Tofali 45 kwa mfuko? Si mchanga mtupu tu huo jamani....
Tofali 19 kwa mfuko!!! Ndio dili.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Achana na standards za kiwanda wewe, that’s way too perfect... eti water should be clean, sand should be dry!!
Uliona wapi?
Hapa tunaongea uhalisia huku saiti na sio kwenye makaratasi.
Standard ya wapi? Wapi kuna maandishi ya 40 blocks per one bag of cement? Standard ni 25Standard ni 40 mkuu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ndiyo zile wanajeshi wetu huwa wanazivunja kwa kuzipiga vichwa.
Naomba kazi hiyo nikutengeneze za kiwango Bora 32 ratioBado
Nitakucheki Pm tuyajenge mkuuNaomba kazi iyo nikutengeneze za kiwango Bora 32 ratio
32 ratio ndio nini MkuuNaomba kazi iyo nikutengeneze za kiwango Bora 32 ratio
SawaNitakucheki Pm tuyajenge mkuu
Kiwango Cha tofali kwa mfuko mmoja32 ratio ndio nini Mkuu
Okay vipi ratio ya uchanganyajiKiwango Cha tofali kwa mfuko mmoja
Mkuu ratio ya uchanganyaji ni mfuko mmoja kwa kadirio la mchanga uliopima kwa idadi unayohitajiOkay vipi ratio ya uchanganyaji
Hiyo cement 20,000 wapi hiyo?On a roughly but serious note:
Kwa hesabu ya tofali 45, kwa tofali 4800 utahitaji simenti mifuko takribani 110. Kwa bei ya 20,000/- kwa mfuko ni 2.2M.
Mchanga kila tripu ikupe tofali 200, utahitaji tripu 24... bei ya mfano ni 50,000/- kila hivyo itakula 1.2M.
Fundi wa kupiga tuseme utamlipa 150 hadi 200 kwa tofali, tuweke 800k.
Jumla kuu ni 2.2M+1.2M+800k = 4.2M.
Hapo bado maji, hatujui kama ni ya kulipia au niaje... na ishu ya kumwagilia hizo tofali sijui itakuwa kwako au kwa mpigaji!
Weka laki hapo ziada ihusishe huduma kama hizo.
Wakati huo, tofali zilizo tayari zinauzwa 1000 hadi 1200.... jumla 4.8M hadi 5.8M sijui kuhusu usafiri.
Piga hesabu utajua kiasi cha kuokoa hapo, na muda wako na usumbufu wa kusimamia na kuhakikisha kazi inafanyika kwa ubora.
Laki tano hadi milioni unaweza kuokoa.
Kumbuka mwaka huu sio wa kupata raha sana.
Kwani mnazouziwa ratio yao unajua wanafanyaje? Mfuko unatoa hadi tofali 60 sheikhHamna uimara hapo.
Unajenga gereza?Tofali 45 kwa mfuko? Si mchanga mtupu tu huo jamani....
Tofali 19 kwa mfuko!!! Ndio dili.
We jiulize swali jepesi tu...anaeuza tofali faida anaipataje? Hiyo faida ndo inaokolewa hapaIta fundi, tafuta bei ya materials, bei ya mashine kununua au kukodi, vibao pia; take a pen and a paper Piga hesabu!
Mie sijui maswali mengine mnaulizaga mnakuwa na malengo gani!
Mkuu umeweka hesabu nzuri Ila kimakadirio ni za juu kidogoHyo cement 20,000 wp hyo?
We unatoaga ngapi?Hii kali mfuko mmoja tofali 45
Standard ya kibongobongo, yaani ndo tulivyojipangia...mbona kama unatufokea mkuu?Standard ya wapi? Wapi kuna maandishi ya 40 blocks per one bag of cement? Standard ni 25
Kimahesabu ni sawa ataokoa pesa ila itabidi apoteze na muda kwa ajili ya usimamizi wakati tofali linafyatuliwa na umwagiliaji Maji wa tofali hizo, akishindwa hapo ni sawa na bure.Utaokoa takribani milioni mbili, kulinganisha na kununua zilizo tayari.