Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Sishauri 45 kwa mfuko, kwanza tofali zako ni za nchi ngapi unataka kupiga? Kama ni nchi sita piga 30 kwa mfuko na kama ni nchi 5 piga 35 kwa mfuko si zaidi.
Pia hakikisha unatumia mashine ya bam bam, hii ya kibao si nzuri kwa hiyo ratio, pia angalia mchanga usio na udongo, hakikisha tofali linamwagiliwa asubuhi na jioni kwa wiki moja.
Ni vema ukatumia cement no 45 tofauti ya bei huwa ni 500 tu.
Pia kwenye mfuko wa cement kuna maelekezo jinsi ya kupata ratio ya tofali.
Hakikisha unasimamia ratio na umwagiliaji hii ni muhimu sana sana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Pia hakikisha unatumia mashine ya bam bam, hii ya kibao si nzuri kwa hiyo ratio, pia angalia mchanga usio na udongo, hakikisha tofali linamwagiliwa asubuhi na jioni kwa wiki moja.
Ni vema ukatumia cement no 45 tofauti ya bei huwa ni 500 tu.
Pia kwenye mfuko wa cement kuna maelekezo jinsi ya kupata ratio ya tofali.
Hakikisha unasimamia ratio na umwagiliaji hii ni muhimu sana sana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app