Sio Siri kazi za Rea projects zimemilikishwa na familia moja.Ndio maana haziishi kila mwaka tenda.Kila tenda DERM yupo ingawaje viporo vingi.Tangu Rea ianze ni walewa Mheshimiwa Makamba, Mheshimiwa Chengerwa kazi kwenu.Miradi ya umeme kero sana.Mawaziri,hata Viongozi wengi wa juu wanajua.Mama Samia matusi I ya watanzania Yako kwako