Msaada kujuzwa yafuatayo kuhusu utungwaji wa mimba

Msaada kujuzwa yafuatayo kuhusu utungwaji wa mimba

Sorry, wewe ni mtaalamu wa ultrasound?

Alipata maumivu ya kiuno akidai ni dalili ya mimba, hiyo ni siku monybaada ya kudinyana, sasa kama mimba ilitungwa ktk mdinyano huo, mimba yenye siku moja inaweza kusababisha maumivu ya kiuno?

Tukisema kwamba wakati wa mdinyano huo tayari alikuwa na mimba ya mtu mwingine iliyomletea maumivu ya kiuno tutakuwa tumekosea?
Ukiona nguvu kubwa hivyo inatumika jua hiyo mimba siyo yako...

Japo watu wanaleta ushabiki kwenye hili jambo, ila mazingira yanaonesha obvious hiyo siyo mimba yako...
 
Huwaga cjui inatokeaga nn Kuna sister mmoja alinipa story kuwa alikutana na jamaa mmoja kwa one day Tena na kinga wala haikupasuka sister baada ya mwezi kajihisi ana mimba kuja mwambia msela kagoma mtoto kazaliwa Ni Kama copy ya mwamba
 
Huwaga cjui inatokeaga nn Kuna sister mmoja alinipa story kuwa alikutana na jamaa mmoja kwa one day Tena na kinga wala haikupasuka sister baada ya mwezi kajihisi ana mimba kuja mwambia msela kagoma mtoto kazaliwa Ni Kama copy ya mwamba
Mpaka namimi atoke kama copy yangu ndo nitaamini, akifanana tu na mama yake, hapo mpaka nikapime DNA nje ya nchi na siyo nchini kwetu.
 
Hiyo mimba "inawezekana" ni ya mtu mwingine, ila kaona akusaikizie wewe 🤣🤣. Hapo kuna sababu 7 zinazomfanya akusakizie

1. Itakuwa yeye mwenyewe hajui mimba ni ya nani, akaona akusakizie wewe 🤣

2. Itakuwa anamjua mwenye mimba ila kakataa mazima, akaona akusakizie wewe 🤣

3. Itakuwa anamjua mwenye mimba ila kaona ni maskini wa kipato na hana hadhi, na wewe pesa unayo na hadhi unayo, akaona akusakizie wewe 🤣

4. Itakuwa anamjua mwenye mimba na kaikataa ila kaona wewe ni mtu mpole sana, akaona akusakizie wewe 🤣

5. a) Itakuwa anamjua mwenye mimba ila huyo mwenye mimba ni mtu asie na connection na yeye au ndugu, kwa hiyo kwa jicho langu la tatu lazima huyo binti atakusokomeza kwa ndugu zake mapeeemaaaaa ili utoe matumizi au uoe kwahiyo, akaona akusakizie wewe 🤣

5. b) Itakuwa ulikuwa kwenye ligi ya ushindani na wanaume wengine, sasa wengine wakashida kutokana na kukuzidi vigezo vingine mfano, uwezo wa kuhonga hela, uwezo wa kumtreat mwanamke vizuri, uwezo wa kutia saundi, uwezo wa kutiana, uhendisamu na uvaaji Sasa katika hiyo ligi kwa bahati mbaya akashika mimba ya timu pinzani, ila kutokana na wewe una "hadhi" fulani, akaona akusakizie wewe 🤣

6. Itakuwa yeye mwenyewe anajua mimba ya mtu mwingine, ila kwakuwa anajua wewe ni mtu mwenye upwiru wa karibu, na huyo binti labda ni mzuri mfano: mweupe, ni modo au ana tako KUBWA, anajuwa wewe utamtaka tu anaona wewe ndio mtu rahisi kumtaka kumla kutokana na uzuri wake na wewe una "hadhi", akaona akusakizie wewe 🤣

7. Itakuwa binti kajikatia tamaa ya maisha na huku ana mimba na wewe una "hadhi" fulani, akaona akusakizie wewe 🤣



Cha msingi ufanye hesabu ya tarehe za kukulana mpaka umri wa mimba. Ukiona hazijakaa sawa jua sio wako. Ukiona zimekaa sawa jua tu kaona akupe k siku ya hatari makusudi ili abebe mimba ambayo kutokana na wewe una "hadhi" fulani, utalea tu.



Naomba kuwasilisha.


Ova
 
Hiyo mimba "inawezekana" ni ya mtu mwingine, ila kaona akusaikizie wewe 🤣🤣. Hapo kuna sababu 7 zinazomfanya akusakizie

1. Itakuwa yeye mwenyewe hajui mimba ni ya nani, akaona akusakizie wewe 🤣

2. Itakuwa anamjua mwenye mimba ila kakataa mazima, akaona akusakizie wewe 🤣

3. Itakuwa anamjua mwenye mimba ila kaona ni maskini wa kipato na hana hadhi, na wewe pesa unayo na hadhi unayo, akaona akusakizie wewe 🤣

4. Itakuwa anamjua mwenye mimba na kaikataa ila kaona wewe ni mtu mpole sana, akaona akusakizie wewe 🤣

5. Itakuwa anamjua mwenye mimba ila huyo mwenye mimba ni mtu asie na connection na yeye au ndugu, kwa hiyo kwa jicho langu la tatu lazima huyo binti atakusokomeza kwa ndugu zake mapeeemaaaaa ili utoe matumizi au uoe kwahiyo, akaona akusakizie wewe 🤣

5. Itakuwa ulikuwa kwenye ligi ya ushindani na wanaume wengine, sasa wengine wakashida kutokana na kukuzidi vigezo vingine mfano, uwezo wa kuhonga hela, uwezo wa kumtreat mwanamke vizuri, uwezo wa kutia saundi, uwezo wa kutiana, uhendisamu na uvaaji Sasa katika hiyo ligi kwa bahati mbaya akashika mimba ya timu pinzani, ila kutokana na wewe una "hadhi" fulani, akaona akusakizie wewe 🤣

6. Itakuwa yeye mwenyewe anajua mimba ya mtu mwingine, ila kwakuwa anajua wewe ni mtu mwenye upwiru wa karibu, na huyo binti labda ni mzuri mfano: mweupe, ni modo au ana tako KUBWA, anajuwa wewe utamtaka tu anaona wewe ndio mtu rahisi kumtaka kumla kutokana na uzuri wake na wewe una "hadhi", akaona akusakizie wewe 🤣

7. Itakuwa binti kajikatia tamaa ya maisha na huku ana mimba na wewe una "hadhi" fulani, akaona akusakizie wewe 🤣



Cha msingi ufanye hesabu ya tarehe za kukulana mpaka umri wa mimba. Ukiona hazijakaa sawa jua sio wako. Ukiona zimekaa sawa jua tu kaona akupe k siku ya hatari makusudi ili abebe mimba ambayo kutokana na wewe una "hadhi" fulani, utalea tu.



Naomba kuwasilisha.


Ova
Ahsante kwa maelezo yako.

Japo no. 3 sidhani kama ni kweli maana sina hadhi kubwa wala mipesa, bado najitafuta, labda kama mwingine mwenye hiyo mimba (kama yupo) akawa wa hali ya chini zaidi.

Sasabu ya nne inawezekana kabisa, naamini ni kweli.

Sababu ya 7 nayo ni kweli, ilionekana kama kakata tamaa kuwa umri umeenda hajui kama ataolewa, na alionekana kuhitaji kuwa na mtoto, mimi nililala nae mara mbili tu.
 
Ahsante kwa maelezo yako.

Japo no. 3 sidhani kama ni kweli maana sina hadhi kubwa wala mipesa, bado najitafuta, labda kama mwingine mwenye hiyo mimba (kama yupo) akawa wa hali ya chini zaidi.

Sasabu ya nne inawezekana kabisa, naamini ni kweli.

Sababu ya 7 nayo ni kweli, ilionekana kama kakata tamaa kuwa umri umeenda hajui kama ataolewa, na alionekana kuhitaji kuwa na mtoto, mimi nililala nae mara mbili tu.
🤣
Hapo kuna mawili.
1. Inawezekana mimba sio yako. Ila kaona akusakizie. Kutokana na wewe kuwa na hadhi kuzidi wengine unaoshindana nao.

2. Inawezekana mimba ni yako kabisa. Hivyo kutokana na hadhi yako na yeye kukata tamaa. Kaona akupe K siku ya hatari ambapo mayai ndio yanatoka. Kuhusu condom usiiamini Kaka. Binti anaweza akachovya hata tone moja la bao akatumbukiza kwenye k na akashika mimba. Au kuna mbinu fulani mabinti wanatumia, yaani ukivaa kinga tu. Binti anaishikashika mashine yenye kinga huku akiiparaza na kucha. Hivyo kinga inakuwa na kitobo kidogo mno ambacho ukipiga bao tu wakati unaendelea na kumla, kumbe kuna kitone kimoja kimevuja na kumpa mimba. Kuna scenario za watu kutumia kinga na mimba bado inaingia. Chanzo huwa ni kucha au kuvuja kwa kitone kimoja.



Piga hesabu ya tarehe za kukulana na umri wa mimba.

Ila kiufupi hadhi yako ndio imekuponza 🤣.
 
🤣
Hapo kuna mawili.
1. Inawezekana mimba sio yako. Ila kaona akusakizie. Kutokana na wewe kuwa na hadhi kuzidi wengine unaoshindana nao.

2. Inawezekana mimba ni yako kabisa. Hivyo kutokana na hadhi yako na yeye kukata tamaa. Kaona akupe K siku ya hatari ambapo mayai ndio yanatoka. Kuhusu condom usiiamini Kaka. Binti anaweza akachovya hata tone moja la bao akatumbukiza kwenye k na akashika mimba. Au kuna mbinu fulani mabinti wanatumia, yaani ukivaa kinga tu. Binti anaishikashika mashine yenye kinga huku akiiparaza na kucha. Hivyo kinga inakuwa na kitobo kidogo mno ambacho ukipiga bao tu wakati unaendelea na kumla, kumbe kuna kitone kimoja kimevuja na kumpa mimba. Kuna scenario za watu kutumia kinga na mimba bado inaingia. Chanzo huwa ni kucha au kuvuja kwa kitone kimoja.



Piga hesabu ya tarehe za kukulana na umri wa mimba.

Ila kiufupi hadhi yako ndio imekuponza 🤣.
Mimi Sina hadhi kubwa sana mkuu 😂 😂, pia uwezekano wa tone moja la bao kutungisha mimba ni mdogo, pia ultrasound imeonyesha mimba ni kubwa kwa wiki tatu na nusu kuliko muda niliokutana nae.

lakini kama alivizia nimesinzia akachukua condom kwenye dust bin na kujimiminia mbegu hapo sawa, ila kunifanyia hivyo unadhani ni sawa? Yaani unajimiminia mbegu, halafu udai nikupe hela, hapo si naweza nikakufunga kwa kunilazimisha kuzaa na kunitapeli mbegu zangu.
 
Mkuu wape fedha tu ni kama unamuhonga
Nikiwapa si ndo watasema kweli huyu ndo mwenye mtoto, huo ni mtego, hapa ni kukaza, coz kutoa matumizi ni kukubali mimba, na ukishatoa, kuja kukataa mtoto baadae itakuwa ngumu, watakuuliza "umetugeukaje kuwa mtoto siyo wako, kama siyo wako mbona ulikuwa unahudumia?
 
Lea hiyo mimba... Kama Kuna ugaigai itajulikana na hutapoteza heshima yako. Mungu atakufunulia.. huu Ni mtazamo wa kiroho... Puuza yote utaumia Lea hiyo mimba...
 
Vipimo vya mimba ni kubahatisha tu, kama ilivyo tafiti za mvua nk

Kwenye uislamu tunapata kuwa;

Hakuna ajuaye mambo haya isipokuwa Mola mwenyewe
A. Mimba- yaani kitazaliwa nini, lini, wapi au kisizaliwe kabisa nk

B. Mvua- yaani itanyesha lini, wapi, muda gani, au isinyeshe nk

C. Mauti- yaani nafsi itakufa lini, wapi, kivipi

D. Riziki- yaani nafsi itachuma nini, kivipi, kiasi gani nk

E. Kiama- yaani kitakuwa lini, bado muda gani na mambo kama hayo

Ingawa kuna baadhi ya watu Mola aliwapa nafasi ya (kujua) kueleza kidogo kuhusu baadhi ya mambo hayo na ikawa ndivyo
 
Habarini wana JF, naombeni kuwauliza yafuatayo:

1) Hivi inawezekana mimba kutungwa endapo mwanaume katumia kinga kikamilifu (condom imara aina ya rough rider) na kinga hizo hazikuharibika hata kama mwanamke akiwa kwenye siku za hatari za kushika mimba?

2) Inawezekana kipimo cha ultrasound kilichopimwa hospitali ya wilaya kizidishe umri wa mimba kwa wiki tatu na nusu juu ya muda ambao umepigwa mahesabu kutoka kwenye siku za hedhi? Maana nasikia ultrasound ipo sahihi hasa kama mimba haijafika miezi mitatu.

3) Pia inawezekana mimba kuonekana/kuhisi tumbo la uzazi limetuna chini ya kitovu (endapo ukigusa tumbo) kabla mimba haijafika miezi mitatu (wiki 12)?

4) Mwisho inawezekana mimba iliyotungwa ina siku moja kumletea mwanamke maumivu ya kiuno?

Ahsanteni.
Junia hajambo 😹
 
Unafufua uzi uliokufa, yule demu ni tapeli, ingekuwa kweli angekuwa anasumbua mpaka sasa.
Kwahiyo hata mtoto haujawahi kuona sura ake kama kafanana na babu mzaa baba 😁
 
Kwahiyo hata mtoto haujawahi kuona sura ake kama kafanana na babu mzaa baba 😁
Sijawahi hata, hata kunitumia picha hawataki, na hawanipigii, unafikiri ingekuwa kweli si ningepelekwa ustawi wa jamii. Na nitakuja kupima DNA sample naipeleka nje ya nchi, nikikuta wamenibambika, nawashtaki wanilipe.
 
Back
Top Bottom