joshua siao
Senior Member
- Jun 3, 2017
- 174
- 100
Nitafute tukapige ma u tarn maali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudanganya safari safari ajaenda na kuosha katumia muda mfupiNina sababu za msingi sana
Uongo najua magariWe kaka me sio fundi huo uhun alkua anafanya kaka angu kwa gari za mzee kumwibia mafuta [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kuna nyaya wanafungua pale kwnye gear shift kuna nyaya wanafunga motor hiz za kawaida the wanaliwasha linaunguruma hata nusu saa anakua kasogeza KM kadhaa
Nop asifungue dash atafte mtu mwenyewe lipt machine wanazo sana wauzaji wa magari kam yupo A town anicheki 0763488123 mpunga mbeleUnauelewa kidogo na ufundi mkuu.
Maana njia nitakayokupa lazima uwe na uelewa wa ufundi kidogo.
Kama kufungua cluster kabisa kulitenganisha.
Uwe unaweza kufanya solder .
Uwe unaweza kutumia jiko.
Uwe unaweza hesabu.za hexdecimal.
Hiyo ni njia cheap.
La sivyo uwe na mashine za kufanyia kazi hiyo.
Kama huna nitafute mm namashine naweza kukusaidia kazi yako.na nitakufundisha ukitaka.
Kuna aina ya gari na gari mkuu ndio hufungui cluster haswa gari za europe.Nop asifungue dash atafte mtu mwenyewe lipt machine wanazo sana wauzaji wa magari kam yupo A town anicheki 0763488123 mpunga mbele
Mkuu, ebu shusha nondo kidogo, ningependa kujua hiyo makinikia
Extractor=accelerator.Mkuu simple tuuu tega juu ya mawe tair zote then washa kanyagia extractor yako na jiwe dakika 5 tu rudisha mrejesho
Sent from my HTC One using JamiiForums mobile app
Sasa ninyi mnaomshauri akanyagie ecceralatot ndo mnamshauri nini? Mwenzenu anataka aongeze mileage akiwa amekaa tu, yaani hesabu ya mafuta iendelee kusoma kwa Km afu yeye amekaa tu anakula kiulaini, msaidieni huyu dereva ana hali ngumu ya maisha, Magu amebana.
Mi nakushauri mkuu, kama mbinu zote zikishindikana pandisha gari juu then zungusha tyre kwa mkono hadi zifike Mileage unazotaka. Au design mkanda unauunganisha kwa biaskeli na gurudumu then unapiga pedal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unataka kuwaibia watu sasa ela imekuwa ngumu kuipata.. Inabidi mkulu aliangalie hili la si hivyo itakuwa shida kubaki mjini hadi mwisho wa mwezi huu..
Habari wanajamvi
Ninaomba msaada wa kuelekezwa jinsi ya kupeleka mbele kilometres za gari(sedan cars).
Nina fahamu watu wengi wanarudisha nyuma kilometres za Gari kwa sababu mbalimbali, hivyo mm ninaomba kuelekezwa jinsi ya kuongeza kilometres( Nina sababu zangu)
Kwa anayefahamu ninaomba sana kuelekezwa.
Natanguliza shukrani