MSAADA: Kupata muwasho, vijipele hatimaye maumivu makali kwenye kuta za uke mpaka kwenye kinena

Sipajui mimi ..
Ila nachokumbuka nishawahi pata dili la kuzungusha hizi zana za bure kule chuoni aiseeee hii ilikua hatare maana zilizobaki nilienda kuuza japo kununuliwa ilikua kasheshe
Hupajui na ulinisimulia dogo, usione aibu kusema enzi zako umenunua sana dada poa kabla ya kujua mishangazi ni asset iliyojificha.
 
Ninadhani hii comment ingelitufungia mada yetu hii pendwa.

Hakuna popote ambapo mtaalamu huyu kaacha kupagusa.
 
Harufu yake inayotoka apo naona umeamua kutoielezea maana ni balaa tupu.
Wahi hospital ni fungus hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…