Msaada:kupata scholarship.

Msaada:kupata scholarship.

DANIEL NSULWA

Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
8
Reaction score
2
Jamani wana Jf kuna hatua gani za kufanya ili kupata scholarship,na je ni vigezo gani vinavyozingatiwa haswa.Na mwisho ni chi gani nzuri zaidi kitaaluma kwa upande wa universities ktk Afrika mashariki na kwingineko duniani.Ahsanteni jamani
 
Hebu pita tovuti ya wizara ya elimu www.moe.go.tz halafu hebu search hapa Jukwaani mana kuna threads nyingi tu zilishawahi kuwekwa hapa kuhusu scholarship.
BEST!
 
Back
Top Bottom