DANIEL NSULWA
Member
- Mar 18, 2014
- 8
- 2
Jamani wana Jf kuna hatua gani za kufanya ili kupata scholarship,na je ni vigezo gani vinavyozingatiwa haswa.Na mwisho ni chi gani nzuri zaidi kitaaluma kwa upande wa universities ktk Afrika mashariki na kwingineko duniani.Ahsanteni jamani