SuperImpressor
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,505
- 648
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,
wapimaji wa viwanja walipita mahali fulani wakafanya upimaji kwa kuelekezwa na mtu mwingine kuhusu mipaka ya uwanja ilivyokaa,
lakini walielekezwa kimakosa bila mmiliki wa uwanja kuwepo, na mmiliki alipofika huko kakuta ardhi yake imedokolewa, sasa naomba kujua kuwa je kuna uwezekano kufanya marekebisho kwa kurudia kupima?
Maana jamaa alipofuatilia kwa uongozi wa mtaa ambao ndio waliokuwa wanawapitisha wapimaji kwenye viwanja, akaambiwa hapo itakuwa ngumu maana vipimo vimeshaingizwa kwenye mfumo.
Naomba kujua hilo maana asijepoteza haki yake.
Sent from my cupboard using mug
wapimaji wa viwanja walipita mahali fulani wakafanya upimaji kwa kuelekezwa na mtu mwingine kuhusu mipaka ya uwanja ilivyokaa,
lakini walielekezwa kimakosa bila mmiliki wa uwanja kuwepo, na mmiliki alipofika huko kakuta ardhi yake imedokolewa, sasa naomba kujua kuwa je kuna uwezekano kufanya marekebisho kwa kurudia kupima?
Maana jamaa alipofuatilia kwa uongozi wa mtaa ambao ndio waliokuwa wanawapitisha wapimaji kwenye viwanja, akaambiwa hapo itakuwa ngumu maana vipimo vimeshaingizwa kwenye mfumo.
Naomba kujua hilo maana asijepoteza haki yake.
Sent from my cupboard using mug