Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,304
- 830
Naombeni kujua hatua yakuchukua punde unapobadilishwa kitengo cha juu na kuhamishiwa cha kawaida sababu zikiwa za kutuhumiwa kujihusisha na siasa bila kuwa na fact.
Mf. Kuondolewa cheo cha uafisa ushirika wilaya na kuwa mkuu wa soko.
Km Mkurugenzi anapokea order tu kutoka kwa wanasiasa na kufanya maamuzi bila ushahidi. Ni halali?
Mf. Kuondolewa cheo cha uafisa ushirika wilaya na kuwa mkuu wa soko.
Km Mkurugenzi anapokea order tu kutoka kwa wanasiasa na kufanya maamuzi bila ushahidi. Ni halali?