Habari wadau wa jf doctor
Naombeni msaada kwani nakata tamaa kabisa ya kupata mtoto baada ya kusimama kwa hedhi yangu ...iko hiv nilibeba mimba mwaka 2015 kwa bahati mbaya mimba ilivyofikisha miezi mitano(5) mtoto akawa hakui tena(kiumbe kimefariki) basi nikatolewa na kusafishwa vyema palestina hosp ...baada ya hapo nikawa naingia kwenye siku zangu kawaida mzunguko siku 28 jpo bleed ilikuwa nyepesi sana na inatoka siku 2-3 basi nikaanza kwenda hosp nikafanyiwa ultra sound na kusema nina polycysts ila nikatibiwa nikapona ,ikawa saingine napata maumivu makali chin ya tumbo mara kila nikipima uti n.k but mwisho wa siku nikapona kabisa hata nilivyokuja kufanya vipimo nikawa sina tatizo lolote lile nikawa naendelea na mchakato wa kutafuta mtoto
Mwaka jana mwezi wa 6 hapo ndio tatizo jipya lilianza nilivusha siku kwa miez miwili nikaenda hosp nikaambiwa nimwone gynaecologist nikafanya hivyo hapo unaenda mwez wa 3 sijablid akaanza nifanyia vipimo upya kabisa ;wanasema majibu na vipimo n siri ya mgonjwa na dokta ila naomba kuweka vipimo na majibu hapa ili niweze kusaidika kwa urahisi
HSG(kucheki mirija)------------ NORMAL HSG EXAMINATION
ULTRA SOUND-------NORMAL PELVIC USS EXAM
TOXOIgG-------26.98 ,unit IU/mL ,status POSITIVE
CMVIgG-----12.41, unit IU/mL status POSITIVE
RUBELLAIgG-------15.08,unit IU/mL ,status NEGATIVE
HbsAg---- NEGATIVE
VDRL ---- NEGATIVE
COLOR -----CLEAR YELLOW
PH------ 6.5
S.G------1.020
SUGAR---- NIL
KETONE---- NIL
PROTEIN--- NIL
Pus cells ---- 15-20 hps
Epith cells ---- ++
Crystals--- NIL
Cast---- NIL
Ova-----NIL
PROGESTERONE ---- iko sawa
FSH----Iko sawa
LH---- iko sawa
PRL --- iko sawa
Estradol -----iko sawa
Baada ya vipimo vyote nikaandikiwa vitamin b,folic acid na NORETHISTERONE 5(primolut _N) za 10 dayd 1*3
Baada ya kumaliza siku 3 mbele nikaona siku zangu walau ilikuwa heavy kiasi na ikatoka 3 days siku ya tano nikameza clomifen then siku ya 11 nikaanza dulphaston kisha nikaambiwa ndio nikutane na mr but unfortunately alipata ajal[emoji17]
Ilivyofika siku ya 28 sikuona siku zangu ikaenda mpka siku ya 35 hamna kitu nikarudia kipimo cha ,,,,S.Prolactin majibu yakatoka sina tatizo
Ikabidi nirudie tena kumeza NORETHISTERONE 5(primolut N) za 10 days 1*3
Umri -29
HOFU YANGU; naombeni kama kuna mtu alishawahi kupata changamoto hii aliitatua vipi maana napata mashaka mno je ili bleed itoke nitakuwa mpaka nimeze hizi dawa???
Madokta wa jf naomben msaada wenu pls pls napatwa na mashaka mno tena mno
Uso umeharibika mno kwa chunus tangu siku ya 25 baada ya blid(yan zilitoka kama naingia kwenye siku zangu na chuchu kuuma na haikutoka)
Samahanini kwa uzi mrefu ila NAOMBEN MSAADA WA KIMAWAZO TAFADHALINI SANA ,,,NATAMANI KUONA NAINGIA KWENYE SIKU ZANGU BILA KULAZIMISHA NA DAWA ASANTENI