Msaada: Kusimama kwa hedhi ghafla

Msaada: Kusimama kwa hedhi ghafla

Pole sana mamii, jaribu kwenda Aga khan fanya appointment na Dr Lynn, Mimi binafsi namuamini sana, naamini utarudi na mrejesho mzuri, Mungu akutangulie.
 
Pole sana mamii, jaribu kwenda Aga khan fanya appointment na Dr Lynn, Mimi binafsi namuamini sana, naamini utarudi na mrejesho mzuri, Mungu akutangulie.
Ameen,,siku gan na muda niende hapo?
 
Kuna maswali nimekuuliza nafikiri hujayaona, yapitie kisha unipe majibu.
 
Tazama ndege wa anga hawana ghara wala shamba lakini Mungu wa mbinguni uwalisha. Wewe ni Bora kuliko Hao. Nitakusaidia kwenye pm
 
Habari wadau wa jf doctor

Naombeni msaada kwani nakata tamaa kabisa ya kupata mtoto baada ya kusimama kwa hedhi yangu ...iko hiv nilibeba mimba mwaka 2015 kwa bahati mbaya mimba ilivyofikisha miezi mitano(5) mtoto akawa hakui tena(kiumbe kimefariki) basi nikatolewa na kusafishwa vyema palestina hosp ...baada ya hapo nikawa naingia kwenye siku zangu kawaida mzunguko siku 28 jpo bleed ilikuwa nyepesi sana na inatoka siku 2-3 basi nikaanza kwenda hosp nikafanyiwa ultra sound na kusema nina polycysts ila nikatibiwa nikapona ,ikawa saingine napata maumivu makali chin ya tumbo mara kila nikipima uti n.k but mwisho wa siku nikapona kabisa hata nilivyokuja kufanya vipimo nikawa sina tatizo lolote lile nikawa naendelea na mchakato wa kutafuta mtoto

Mwaka jana mwezi wa 6 hapo ndio tatizo jipya lilianza nilivusha siku kwa miez miwili nikaenda hosp nikaambiwa nimwone gynaecologist nikafanya hivyo hapo unaenda mwez wa 3 sijablid akaanza nifanyia vipimo upya kabisa ;wanasema majibu na vipimo n siri ya mgonjwa na dokta ila naomba kuweka vipimo na majibu hapa ili niweze kusaidika kwa urahisi

HSG(kucheki mirija)------------ NORMAL HSG EXAMINATION

ULTRA SOUND-------NORMAL PELVIC USS EXAM

TOXOIgG-------26.98 ,unit IU/mL ,status POSITIVE

CMVIgG-----12.41, unit IU/mL status POSITIVE

RUBELLAIgG-------15.08,unit IU/mL ,status NEGATIVE

HbsAg---- NEGATIVE

VDRL ---- NEGATIVE

COLOR -----CLEAR YELLOW

PH------ 6.5

S.G------1.020

SUGAR---- NIL

KETONE---- NIL

PROTEIN--- NIL

Pus cells ---- 15-20 hps

Epith cells ---- ++

Crystals--- NIL

Cast---- NIL

Ova-----NIL

PROGESTERONE ---- iko sawa

FSH----Iko sawa

LH---- iko sawa

PRL --- iko sawa

Estradol -----iko sawa

Baada ya vipimo vyote nikaandikiwa vitamin b,folic acid na NORETHISTERONE 5(primolut _N) za 10 dayd 1*3

Baada ya kumaliza siku 3 mbele nikaona siku zangu walau ilikuwa heavy kiasi na ikatoka 3 days siku ya tano nikameza clomifen then siku ya 11 nikaanza dulphaston kisha nikaambiwa ndio nikutane na mr but unfortunately alipata ajal[emoji17]

Ilivyofika siku ya 28 sikuona siku zangu ikaenda mpka siku ya 35 hamna kitu nikarudia kipimo cha ,,,,S.Prolactin majibu yakatoka sina tatizo

Ikabidi nirudie tena kumeza NORETHISTERONE 5(primolut N) za 10 days 1*3

Umri -29

HOFU YANGU; naombeni kama kuna mtu alishawahi kupata changamoto hii aliitatua vipi maana napata mashaka mno je ili bleed itoke nitakuwa mpaka nimeze hizi dawa???

Madokta wa jf naomben msaada wenu pls pls napatwa na mashaka mno tena mno

Uso umeharibika mno kwa chunus tangu siku ya 25 baada ya blid(yan zilitoka kama naingia kwenye siku zangu na chuchu kuuma na haikutoka)


Samahanini kwa uzi mrefu ila NAOMBEN MSAADA WA KIMAWAZO TAFADHALINI SANA ,,,NATAMANI KUONA NAINGIA KWENYE SIKU ZANGU BILA KULAZIMISHA NA DAWA ASANTENI
Ukienda Huko Hospitali ulipo shauriwa na wakuu na haujapata damu ya siku zako nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Polycystic ovarian syndrome (PCOS) inaweza kua ndo ugonjwa wako. Ingawa mie sio dr wa wanawake.
Kupata siku zako haimanishi utapata mimba maana cycles zingine yai haitoki. Zinaitwa Anovulatory cycles. Nenda kwa Dr akusaidie kukupa dawa za kusaidia yai litoke. (Narudia muhimu ni yai litoke....sio kupata siku zako) Hata bibi wa miaka 70 akipewa dawa atapata siku zake)
Nakuomba mdogo wangu achana na tiba mbadala hao waganga lazima watakusumbua na utamaliza pesa zako. Ndo kilichomtajirisha Dr Mwaka. Dawa ya kizungu inachanganywa na kienyeji then unauziwa kichupa laki saba.
 
Polycystic ovarian syndrome (PCOS) inaweza kua ndo ugonjwa wako. Ingawa mie sio dr wa wanawake.
Kupata siku zako haimanishi utapata mimba maana cycles zingine yai haitoki. Zinaitwa Anovulatory cycles. Nenda kwa Dr akusaidie kukupa dawa za kusaidia yai litoke. (Narudia muhimu ni yai litoke....sio kupata siku zako) Hata bibi wa miaka 70 akipewa dawa atapata siku zake)
Nakuomba mdogo wangu achana na tiba mbadala hao waganga lazima watakusumbua na utamaliza pesa zako. Ndo kilichomtajirisha Dr Mwaka. Dawa ya kizungu inachanganywa na kienyeji then unauziwa kichupa laki saba.
Dah asante sana kwa ushauri mkuu tena sana ,,, umenikumbusha jambo yai kutokupevuka la upande wa kushoto hii niliambiwa siku nyingi sema nilipewa dawa sikujua kama tatizo liliisha ama lah itabid nikirud hosp next week nimwambie gyno
 
Back
Top Bottom