Msaada: Kuwashwa njia ya haja kubwa

La kukuongeza inawezekana unakula sana nyama nyekundu na huli mboga za majani na matunda na kunywa maji ya kutosha kama tatizo sio hilo ijue ni minyoo na kama wewe ni dume najua nguvu za kiume huna mkuu.nitafute nitakusaidia bureee kwa ishauri.

Mkuu Mimi ni mwanaume niliye kamilika..unamaana gan kusema sina nguvu za kiume.?,au kwa utaalam wako unamaanisha kua tatzo langu linausiana na upungufu wa nguvu za kiume???
 
MIKOA YA NYANDA ZA JUUKUSINI HAKO KAUGONJWA KANAMAJINA YAFUATAYO,,,, PUNKU,,,MONGORA,,,NDONDA,,,,,KITAALAMU NI AMOEBA,, INAKULA INI NA SEHEMU YA UTUMBO WA HAJA KUBWA,,,,dawa zipo ila kama imekomaa unaweza pewa dawa kama 4,,,fragil,,klorokwini na zinginezo,,,ila kimbilia hospital,,,hata choo chako ukifuatilia kinanuka as if kuna kitu kimeoza
 
Mkuu alovera nimetumia sana, lakin bado tatzo alijapona..akhsante kwa ushaur wako

pole bwana, hapa JF lazima utapata dawa, hebu fuatilia aliyeshauri dawa ya kimasai ya buguruni, ukipata kunywa kwa fujo then wahi toilet.
 
Jamani haja kubwa kuwasha sana tatizo ni nini?Au huo ni ugonjwa gani?Mara nyingi huwa nawaona watu wanajikuna hapo mahala.
 
Mawee fangas bacteria kwa hiyo ao ulipo unawashwa pole sana
 
nakushaur ungeenda mombasa kuna dawa nzur sana za asili utafanyiwa na hautaumwa tena.niPM nikudirect
 
Tafuta Albendazole haraka. Tatizo watu wazima huwa hawana tabia ya kunywa dawa ya minyoo, If you sleep with itchy anus you will wake up with smelly finger
 
Hili ni jukwaa la afya,la utani lipo kule sasa sijui anajisikiaje huyu mtu anaumwa anaambiwa mambo ya ajabu

Hiyo ni dalili ya fungal infections kwenye sehemu kuzunguka haja kubwa.Pia inaweza kuwa ni minyoo inaitwa Enterobius Vermicularis huwa inasababisha muwasho(pruritus ani)

Na kadhalika
 
nakushaur ungeenda mombasa kuna dawa nzur sana za asili utafanyiwa na hautaumwa tena.niPM nikudirect

Ata mm nasumbuliwa nisaidie niende uko mombasa au kama ww mwenyewe una dawa nisaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…