yabolingo
Member
- Aug 25, 2014
- 76
- 6
La kukuongeza inawezekana unakula sana nyama nyekundu na huli mboga za majani na matunda na kunywa maji ya kutosha kama tatizo sio hilo ijue ni minyoo na kama wewe ni dume najua nguvu za kiume huna mkuu.nitafute nitakusaidia bureee kwa ishauri.
Mkuu Mimi ni mwanaume niliye kamilika..unamaana gan kusema sina nguvu za kiume.?,au kwa utaalam wako unamaanisha kua tatzo langu linausiana na upungufu wa nguvu za kiume???