Hot27
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 372
- 691
Habari za wakati huu wakuu. Mwezi wa 8 tunategemea kuhamia kwenye makazi mapya maeneo ya Viwege msikitini. Nina wadogozangu wawili ambao mmoja yupo shule ya msingi na mwingine kidato cha tatu maeneo ya Mwananyamala. Kutokana na hali ilivyo tunatazamia kuweza kuwahamisha iliwawe karibu na nyumbani hivyo naomba kuuliza kwa wenyeji wa Viwege au wenye ufahamu wa maeneo hayo au ya jirani na hapo ni shule gani nzuri naweza wahamisha wadogozangu. Nikisema shule nzuri namaanisha mazingira na taaluma pia ila taaluma inaweza kuwa ya kwanza.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.