Msaada: Kwa anayeijua dawa ya ascaris sugu

Ninapima maabara za TMJ na Tumaini hospital.kuhusu mazingira hygene,na lifestle iko vizuri sana.jambo la ajabu hata ukinywa dawa baada ya kumaliza dozi ukipima unakuta wapo.yani kifupi hawarespond kwenye dawa nazotumia.
Labda ni swala la kiroho zaidi.....!!!
 
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…