Msaada: Kwa anayeijua dawa ya ascaris sugu

Msaada: Kwa anayeijua dawa ya ascaris sugu

Ninapima maabara za TMJ na Tumaini hospital.kuhusu mazingira hygene,na lifestle iko vizuri sana.jambo la ajabu hata ukinywa dawa baada ya kumaliza dozi ukipima unakuta wapo.yani kifupi hawarespond kwenye dawa nazotumia.
Labda ni swala la kiroho zaidi.....!!!
 
Mkuu najua dawa ya kienyegi haizidi hata Tshs 4000 na unapona kabisa .Hata mimi nilikuwa na hiyo minyoo mpaka unaisika inakuja mpaka hapo kwenye nnya na kutaga mayai na kurudi ndani kwenye tumbo ,i is one week treatment , believe me or not .Would you give me a Pm please.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom