kadebe rwekiti
Member
- Apr 8, 2017
- 48
- 19
Watu wa Mungu,
Ninasumbuliwa na ascaris lumbricode kwa miaka 7. Nimetumia aina nyingi za dawa za dukani na mitishamba lakini kila u napomaliza dozi nikipima minyoo iko palepale.
Nimeonana na madactari bingwa lakini imeshindikana. Na sasa sina cha kufanya, afya inadhoofu, naomba kwa yeyote anayejua dawa kiboko ya kuua hawa wadudu anisaidie.
Ninasumbuliwa na ascaris lumbricode kwa miaka 7. Nimetumia aina nyingi za dawa za dukani na mitishamba lakini kila u napomaliza dozi nikipima minyoo iko palepale.
Nimeonana na madactari bingwa lakini imeshindikana. Na sasa sina cha kufanya, afya inadhoofu, naomba kwa yeyote anayejua dawa kiboko ya kuua hawa wadudu anisaidie.