Msaada: Kwa Anayejua Kuhusu Hizi Paid Social Media Jobs

Msaada: Kwa Anayejua Kuhusu Hizi Paid Social Media Jobs

Manjagata

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
13,942
Reaction score
15,371
Wadau salama? Naomba kwa mtu anayejua hizi Paid Social Media ajaribu kutoa ufafanuzi hapa maana nimefuatwa na raia ananihamasisha kwamba kuna hizo jobs ambazo unazifanya remotely! Na wewe unaendelea na mambo yako mengine huku unapiga mpunga! Lakini kuna kiingilio kwanza cha kama U$ 30 hivi! Najua hapa kuna wale wanajifanyaga kujua kila kitu kama Mh. Supika mtenguliwa watakuja na mabezo yao nitawapotezea, mimi nataka wale wenye ufahamu wa kiutu uzima ndiyo wachangie!! Asanteni sana!
 
Achana nao utapigwa za uso tu iLa Ngja tuone labda wengne wtakuja kukupa muongozo
 
Wadau salama? Naomba kwa mtu anayejua hizi Paid Social Media ajaribu kutoa ufafanuzi hapa maana nimefuatwa na raia ananihamasisha kwamba kuna hizo jobs ambazo unazifanya remotely! Na wewe unaendelea na mambo yako mengine huku unapiga mpunga! Lakini kuna kiingilio kwanza cha kama U$ 30 hivi! Najua hapa kuna wale wanajifanyaga kujua kila kitu kama Mh. Supika mtenguliwa watakuja na mabezo yao nitawapotezea, mimi nataka wale wenye ufahamu wa kiutu uzima ndiyo wachangie!! Asanteni sana!
Wacha huo UJINGA, ni Kam ulevi tu.. Kubeti na uvivu mwingine... Watu wake wa hovyo hovyo, na wengi utwakuta hawatak kujishuhulisha kisa wametoka chuo
 
Wacha huo UJINGA, ni Kam ulevi tu.. Kubeti na uvivu mwingine... Watu wake wa hovyo hovyo, na wengi utwakuta hawatak kujishuhulisha kisa wametoka chuo
Kwani mkuu ungeeleza tu bila kutumia neno "UJINGA" Usingeeleweka?
 
Hebu leta link ya hizo kazi kwanza!
Wajuzi watasema kama ni scam au lah!!
Maana zipo za kweli, ila mchakato wake si mrahisi kama wengi wanavyodhani!!!
 
Wadau salama? Naomba kwa mtu anayejua hizi Paid Social Media ajaribu kutoa ufafanuzi hapa maana nimefuatwa na raia ananihamasisha kwamba kuna hizo jobs ambazo unazifanya remotely! Na wewe unaendelea na mambo yako mengine huku unapiga mpunga! Lakini kuna kiingilio kwanza cha kama U$ 30 hivi! Najua hapa kuna wale wanajifanyaga kujua kila kitu kama Mh. Supika mtenguliwa watakuja na mabezo yao nitawapotezea, mimi nataka wale wenye ufahamu wa kiutu uzima ndiyo wachangie!! Asanteni sana!
Eti kiingilio usd 30
 
Hebu leta link ya hizo kazi kwanza!
Wajuzi watasema kama ni scam au lah!!
Maana zipo za kweli, ila mchakato wake si mrahisi kama wengi wanavyodhani!!!
Hebu gugu (in Makala's Voice) hii kazi "Part Time Work From Home Data Entry And Online" unaweza kuweka na neno UNIDO Administrative Assistant Jobs Jobs
 
Hebu gugu (in Makala's Voice) hii kazi "Part Time Work From Home Data Entry And Online" unaweza kuweka na neno UNIDO Administrative Assistant Jobs Jobs

Hiyo link uliyoweka hamna kitu…
Kwa hiyo namna yako ya kugugu,utaishia kukutana na scams tu!
 
Back
Top Bottom