igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Mkuu humu Kuna vichaa kabisa kama huyu anayeongea utumbo wakati mwenzake ana shida kubwa sanawakifanya hivyo ndio watakuwa wamemsaidia nini hapo ?
mbona unaongea utumbo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu humu Kuna vichaa kabisa kama huyu anayeongea utumbo wakati mwenzake ana shida kubwa sanawakifanya hivyo ndio watakuwa wamemsaidia nini hapo ?
mbona unaongea utumbo.
Mpeleke sober houseWakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.
Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)
Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.
Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)
Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.
Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.
So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.
Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.
Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.
Nini zitakua faida Na hasara?
Msaada wenu tafadhali
Wewe ndio unaonekana kichaa mkuu, suala la mafuta ya Mwamposa ni suala la ki Imani kwamba huenda labda waliamini ndugu Yao amerogwa...Sasa kati ya yeye nanyie mnayempa mafuta ya mwamposa nani anastahili kutangulia wodi ya vichaa??[emoji3]
Muulize ndugaiWakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.
Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)
Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.
Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)
Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.
Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.
So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.
Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.
Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.
Nini zitakua faida Na hasara?
Msaada wenu tafadhali
Mafuta?? Ni ukichaa toshaSasa kati ya yeye nanyie mnayempa mafuta ya mwamposa nani anastahili kutangulia wodi ya vichaa??[emoji3]
Mafuta yana kazi gani sasa km sio ukichaa tu..Wewe ndio unaonekana kichaa mkuu, suala la mafuta ya Mwamposa ni suala la ki Imani kwamba huenda labda waliamini ndugu Yao amerogwa...
Hivi kumbe kufikiria huwaga ni vigumu eeh?
Kazi mnayo, ni kumuomba mungu tu. Wengi wa hao wanaohugua vichaa vya bangi, wakipelekwaga hospital huwa wana behave vizuri na kuonekana wamepona. Wakishatoka baada ya wiki moja ama mbili wanaludi mulemule.Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.
Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)
Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.
Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)
Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.
Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.
So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.
Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.
Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.
Nini zitakua faida Na hasara?
Msaada wenu tafadhali
Mmekosea, Mwamposa ni msanii tu.....mafuta yake hayaponyi wala kusaidia kitu chochote hana tofauti na wasanii wengine wanaojiita mitume uchwara. Mkamateni ndugu yenu mpelekeni hospitali, atapimwa na ikibainika ni chizi watachukua taratibu sahihi za kuwasaidia.Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.
Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)
Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.
Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)
Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.
Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.
So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.
Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.
Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.
Nini zitakua faida Na hasara?
Msaada wenu tafadhali
Yaaan amekaa mloganzila mwezi wanampa dawa wap ...to cut the story tuliamua kurud nae mkoani kwetu nako amekaa mno hospital until anaaga dunia ..kuhusu kwenda milembe tulikataa baada ya ushaur wa wazoefu na hospital hiyo iliyopo dom.Nipe uzoefu mkuu. Mlimpeleka hospitali?