Msaada kwa anayejua utaratibu wa kumpeleka mtu kwenye wodi ya vichaa

Msaada kwa anayejua utaratibu wa kumpeleka mtu kwenye wodi ya vichaa

wakifanya hivyo ndio watakuwa wamemsaidia nini hapo ?

mbona unaongea utumbo.
Mkuu humu Kuna vichaa kabisa kama huyu anayeongea utumbo wakati mwenzake ana shida kubwa sana
 
Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.

Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)

Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.

Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)

Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.

Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.

So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.

Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.

Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.

Nini zitakua faida Na hasara?

Msaada wenu tafadhali
Mpeleke sober house
 
Sasa kati ya yeye nanyie mnayempa mafuta ya mwamposa nani anastahili kutangulia wodi ya vichaa??[emoji3]
Wewe ndio unaonekana kichaa mkuu, suala la mafuta ya Mwamposa ni suala la ki Imani kwamba huenda labda waliamini ndugu Yao amerogwa...

Hivi kumbe kufikiria huwaga ni vigumu eeh?
 
Ukiweza kumsafirisha mpeleke Mloganzila mkuu,
Kuna kitengo cha wagonjwa wa akili, madaktari bingwa wa akili na wodi ya kisasa yenye nyenzo muhimu kwa wagonjwa wa aina hiyo.

Shida ya bangi wapo wagonjwa wengi pale na huwa wanatibiwa na kuruhusiwa wakipata nafuu.Pia ukiruhusiwa kuna utaratibu wa kuhudhuria clinic kwa ufuatiliaji wa mara kwa mara mpaka wahakikishe uko vizuri.

Kuhusu utaratibu ni kwamba unamchukua mgonjwa na kwenda naye hospitali watampokea na kumhudumia ila kama ni wakufanya fujo huwa anapokelewa kitengo cha dharura (emergency department) wanampa huduma ya kwanza na kumpeleka wodini.

Mara nyingi huduma hiyo hutolewa bure( hugharamiwa na serikali).

Pole sana mkuu.


Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.

Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)

Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.

Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)

Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.

Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.

So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.

Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.

Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.

Nini zitakua faida Na hasara?

Msaada wenu tafadhali
Muulize ndugai
 
Poleni sana ... Mpeleke hospitali yoyote ya wilaya au mkoa. Watamtibu Kwa kumpa dawa na/au rufaa kwenda Mirembe. Magonjwa ya akili yanatibika bure tu kama ikithibitika ni ya muda mrefu.
 
Wewe ndio unaonekana kichaa mkuu, suala la mafuta ya Mwamposa ni suala la ki Imani kwamba huenda labda waliamini ndugu Yao amerogwa...

Hivi kumbe kufikiria huwaga ni vigumu eeh?
Mafuta yana kazi gani sasa km sio ukichaa tu..
 
Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.

Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)

Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.

Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)

Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.

Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.

So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.

Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.

Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.

Nini zitakua faida Na hasara?

Msaada wenu tafadhali
Kazi mnayo, ni kumuomba mungu tu. Wengi wa hao wanaohugua vichaa vya bangi, wakipelekwaga hospital huwa wana behave vizuri na kuonekana wamepona. Wakishatoka baada ya wiki moja ama mbili wanaludi mulemule.
 
Wakuu heshima kwenu, Nina ndugu yangu yupo Mwanza mjini. He is a black sheep in our family. MATENDO Na vituko anavyo vifanya tumejidhihirisha kwamba ana matatizo ya akili.

Amevuta bangi Kwa Muda mrefu Sana ( Thanks God hatumii cocaine)

Huko Mwanza ni Kwa Bibi kizaa mama. Nyumbani kwetu ni Dar ES salaam.

Mwanza alienda mwenyewe, Na hapo Kwa Bibi kizaa mama amezingua Sasa hivi anakaa Kwa Bibi yetu WA kambo ( mke mwingine wa babu/ can u imagine this kind of disgrace and embarrassment to our family)

Huko nako amekuwa ni matukio juu ya matukio. Tumempa mafuta ya Mwamposa Hadi tumekoma. Tumeenda karibu Kila Mahali all in vain.

Kibaya Zaidi ni kwamba ameanza tabia ya wizi, tunahofia anaweza kuuwawa.

So Mimi nimesuggest kwamba apelekwe kwenye wodi ya vichaa Kwa ajili ya usalama wake akae huko hata Kwa mwaka mmoja.

Kwa mienendo yake najua akipmwa akili lazima atakutwa Tu something is missing in his head.

Please Kwa mwenye ufahamu Na experience, Ni upi utaratibu wa kumpeleka mtu wodi ya vichaa.

Nini zitakua faida Na hasara?

Msaada wenu tafadhali
Mmekosea, Mwamposa ni msanii tu.....mafuta yake hayaponyi wala kusaidia kitu chochote hana tofauti na wasanii wengine wanaojiita mitume uchwara. Mkamateni ndugu yenu mpelekeni hospitali, atapimwa na ikibainika ni chizi watachukua taratibu sahihi za kuwasaidia.
 
Nipe uzoefu mkuu. Mlimpeleka hospitali?
Yaaan amekaa mloganzila mwezi wanampa dawa wap ...to cut the story tuliamua kurud nae mkoani kwetu nako amekaa mno hospital until anaaga dunia ..kuhusu kwenda milembe tulikataa baada ya ushaur wa wazoefu na hospital hiyo iliyopo dom.
 
Back
Top Bottom