Msaada: Kwa anayezijua gari ndogo, ni ipi ina uwezo wa kwenda masafa marefu?

Msaada: Kwa anayezijua gari ndogo, ni ipi ina uwezo wa kwenda masafa marefu?

Mukose

Member
Joined
May 19, 2012
Posts
95
Reaction score
29
Jamani naomba msaada kwa mtu yeyote anaejua vizuri hizi gari ndogo ni ipi ambayo inafaa kwa kuwa na uwezo wa kwenda masafa marefu kama safari za mikoani bila tatizo lolote na kwa mafuta iwe inatumia vyema?
 
polo vokswagen,speed 260 bonge moja ya gari
 
Mkuu masafa malefu kwenda huitaji gari hata kwa miguu unaenda tu,zamani zile watu walisafiri kwa miguu toka Bagamoyo hadi kigoma

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mkuu masafa malefu kwenda huitaji gari hata kwa miguu unaenda tu,zamani zile watu walisafiri kwa miguu toka Bagamoyo hadi kigoma

Post sent using JamiiForums mobile app
Bora kile kuliko huyu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
mkuu ni vyema ungezitaja hizo Gari alafu MTU akushauri kwenye list yako. mfano kama hiv
Toyota ist
Toyota vits
paso
raum
rav4
Suzuki kei
naamini ukifanya hivi unaweza pata ushauri mzuri. jion njema
 
Tafuta gari yenye dif kama gx 100 gx 110 primio ,alion

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Huo udogo hujasema udogo upi maana kuna vigari vidogo lakini performance yake ni balaa kama vile Volkswagen golf GTI ina speed hadi 320

Sent from my Iphone 6 Plus using JamiiForums mobile app
 
Jamani naomba msaada kwa mtu yeyote anaejua vizuri hizi gari ndogo ni ipi ambayo inafaa kwa kuwa na uwezo wa kwenda masafa marefu kama safari za mikoani bila tatizo lolote na kwa mafuta iwe inatumia vyema?
Mimi nafanyaga sana safari za Dar -Moro-Dom,mwanzo nilikuwa natumia IST yenye CC 1496 ilikuwa inasafiri bila tatizo lolote kwenda Dar na kurudi Dom baadae nikauza IST nikanunua Toyota Succeed yenye CC 1496 coz ina space kubwa ya kubeba mzigo!Pia hii nayo iko poa sana,naweka mafuta ya sh elfu 70,000(lita ni zaidi ya sh 2000) Dar-Dom na mafuta mengine yanabaki nafanya mizunguko miwili mitatu!Hivyo nimekupa uzoefu wangu mkuu na gari nilizotumia

Sikiliza Toka Kwangu!
 
Mimi nafanyaga sana safari za Dar -Moro-Dom,mwanzo nilikuwa natumia IST yenye CC 1496 ilikuwa inasafiri bila tatizo lolote kwenda Dar na kurudi Dom baadae nikauza IST nikanunua Toyota Succeed yenye CC 1496 coz ina space kubwa ya kubeba mzigo!Pia hii nayo iko poa sana,naweka mafuta ya sh elfu 70,000(lita ni zaidi ya sh 2000) Dar-Dom na mafuta mengine yanabaki nafanya mizunguko miwili mitatu!Hivyo nimekupa uzoefu wangu mkuu na gari nilizotumia

Sikiliza Toka Kwangu!
sawa sawa cc1496 inahimili mikiki
 
Back
Top Bottom