oxlade
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 601
- 96
msaada wa mawazo yenu ndugu zangu, mdogo wangu ana 4 ya 26 na ana C mbili za english na civic.
Geog ana f, physics, math, chemistry, biology na kiswahli ana D zote.
Nimefikiria kuomba wizara ya afya, elimu na maliasili na utalii ktengo cha misitu, pia nataka kumuombea chuo cha uongozi wa mahakama lushoto.
OMBI LANGU KWENU
Je kuna sehemu au fani nyingne ambazo ninaweza kumpeleka huyu kwa matokeo haya? Naomba sana msaada wenu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Geog ana f, physics, math, chemistry, biology na kiswahli ana D zote.
Nimefikiria kuomba wizara ya afya, elimu na maliasili na utalii ktengo cha misitu, pia nataka kumuombea chuo cha uongozi wa mahakama lushoto.
OMBI LANGU KWENU
Je kuna sehemu au fani nyingne ambazo ninaweza kumpeleka huyu kwa matokeo haya? Naomba sana msaada wenu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.