msaada kwa haya matokeo nimpeleke wapi huyu?

msaada kwa haya matokeo nimpeleke wapi huyu?

msaada wa mawazo yenu ndugu zangu, mdogo wangu ana 4 ya 26 na ana C mbili za english na civic.
Geog ana f, physics, math, chemistry, biology na kiswahli ana D zote.
Nimefikiria kuomba wizara ya afya, elimu na maliasili na utalii ktengo cha misitu, pia nataka kumuombea chuo cha uongozi wa mahakama lushoto.
OMBI LANGU KWENU
Je kuna sehemu au fani nyingne ambazo ninaweza kumpeleka huyu kwa matokeo haya? Naomba sana msaada wenu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Pia pharmacy uhakika wa jira ni mkubwa sana aisee kama 95% ajira wazi wazi.
 
msaada wa mawazo yenu ndugu zangu, mdogo wangu ana 4 ya 26 na ana C mbili za english na civic.
Geog ana f, physics, math, chemistry, biology na kiswahli ana D zote.
Nimefikiria kuomba wizara ya afya, elimu na maliasili na utalii ktengo cha misitu, pia nataka kumuombea chuo cha uongozi wa mahakama lushoto.
OMBI LANGU KWENU
Je kuna sehemu au fani nyingne ambazo ninaweza kumpeleka huyu kwa matokeo haya? Naomba sana msaada wenu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Japokuwa ana F ya Geography lakini Chuo cha madini Dodoma wanaweza kumpokea kwa kuwa angalau ana D za Physics, Chemisty na Maths. Asome cheti cha Geological Techinician na anaweza kuunganisha na Diploma kabisa. Chuo ni cha serikali.

Akimaliza hapo moja kwa moja anapata ajira ya uhakika kabisa kwenye migodi yetu iliyojazana nchi nzima. Na mishahara ya migodini ni mizuri sana tu.
 
Japokuwa ana F ya Geography lakini Chuo cha madini Dodoma wanaweza kumpokea kwa kuwa angalau ana D za Physics, Chemisty na Maths. Asome cheti cha Geological Techinician na anaweza kuunganisha na Diploma kabisa. Chuo ni cha serikali.

Akimaliza hapo moja kwa moja anapata ajira ya uhakika kabisa kwenye migodi yetu iliyojazana nchi nzima. Na mishahara ya migodini ni mizuri sana tu.

Ahsante mkuu, vp una website ya hcho chuo? Naomba unisaidie tafadhal
 
kuwa na subira kwa matokeo ya sasa huyo form five anaingia
 
Mpeleke akafanye usafi wizaran kuna nafasi za kuchoma paper zenu kwani zitakua uchafu2 pale kwa mlivyozungusha
 
Back
Top Bottom