malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Kivip mkuuTutaonana tenaaa yani tutaonana tenaaa.
Hospital kubwa kama ipinenda hospital kubwa maana huwa kuna changamoto sana kwenye baadhi ya hivi vituo vidogo vyenye kutoa huduma za vipimo na utabibu.
Ukiwa mgeni ndani ya hili jiji jitahidi usivae nguo nyingi hasa ukiwa ndani au wakati wa kulala. Hao bacteria (E.coli) wanaousababisha UTI huwa wanapenda mazingira ya joto na unyevunyevu wa jasho.Habar wakuu naomba msaada wenu...kwa mara yakwanza tangu nizaliwe Leo usiku huu ghafla kichwa kimeniuma sanaaa katikati ya utosi...
Maji mengi yanatibu UTI hata 25Kosa lako kwenda kupima...
Wee ungetulia ungekunywa maji meengiiii kwisha habari yake....
Nashangaa sana mtu akisema anaumwa UTI
Kati Cipro na azuma ipi nzuri kutibu utiUTI ni gono iliyopooza.
Azuma
Kunywa maji ya kutosha utanishukuru badaeMaji mengi yanatibu UTI hata 25
Hapa nimeshakuntwa lita2 tangu saa tatuKunywa maji ya kutosha utanishukuru badae
Anakuimbia Parapanda huyo Mwehu anakuletea uchuroKivip mkuu
Ndo hapo wakat Niko vizur Sina HIVAnakuimbia Parapanda huyo Mwehu anakuletea uchuro
Azuma wapenda ngono ndio kimbilio lao hilo hawatumii sana Cipro ni mwendo wa AzumaKati
Kati Cipro na azuma ipi nzuri kutibu uti