Msaada: Kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe nimeugua UTI

Punguza mangono ya kizembe..sio kila mwanamke ni wa kutia..wengine watie kwa macho tu.
 
Mrejesho
Nimetoka kutibiwa mloganzila.majibu Sina Cha UTI,Sina typhoid,Sina,renal function Iko vizur,hb1c Iko vizur....kiufupi dispensary za mitaani niwashenzi
 
Habari mbaya ni hizi hapa 👇
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…