Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hata kama huruma kwa mwanamke mwenzangu ila huyu mwanamke kazidi, sasa anakosa vyote live..hapo atatia akili kuwa raha ya kuduu ni wakati wa tendo TU mengine ni historia!!..Yani amejitakia matatizo yote haya na mwizi mwenzie keshasamehewa yeye ndio hpati usingizi kuwaza jinsi ya kukabiliana na mumewe kwa hili suala!!
Eti wao waki cheat lazima kuwe na sababu...as if kuna watu wanao cheat bila sababu....
kwa kweli huyo shetani anapitia wengi sana, hii sababu naichukia kweli..bora mtu akiri kuwa alitamani kuduu na mtu fulani siyo shetani kapitia..aggrrrrr
kwa kweli huyo shetani anapitia wengi sana, hii sababu naichukia kweli..bora mtu akiri kuwa alitamani kuduu na mtu fulani siyo shetani kapitia..aggrrrrr
Hamna lolote...wapo wanawake kibao wanaoendeshwa na tamaa tu!
Shetani ndo amemvutia na shetani anakuwa mzuri kabla huja do ukisha do unaanza kumtupia lawama shetani.
hivi kibaya ni kipi hapo? Kwamba mke wa mtu kacheat na kapata mimba...vipi kama angecheat na kutopata mimba? Hiyo ingekuwa sawa? Manake kuna mtu nimemsoma eti anashangaa kwa nn huyo mwanamke hakutumia kinga ya uzazi..as if ku-imply kama asingepata mimba ingekuwa ok
Tamaa imemzidi si niafadhali awe mwangalifu ?? Anaenda tu kama alivyozaliwa analala bila nguo kha???
wote wawili...hakuna mwenye afadhali.
Kwanini lakini mnamuonea sana huyo shetani??? Shetani shetani waongo wakubwa hao eti shetani kakupitia wapi???
Asiye na kosa na awe wakwanza kumpiga mawe
my dear umenichekesha na conclusion yako. Habaki mtu. Watabaki watuhumiwa tu.
Ndo maana nakuzimia Lizzy...hurembeshi wala kupaka sukari...koleo unaliita koleo.
Tamaa imemzidi si niafadhali awe mwangalifu ?? Anaenda tu kama alivyozaliwa analala bila nguo kha???
Ndo maana nasema wote wawili wafungwe jiwe shingoni watoswe baharini mtoto tutampeleka kituo cha kulelea watoto.
Tamaa imemzidi si niafadhali awe mwangalifu ?? Anaenda tu kama alivyozaliwa analala bila nguo kha???
Lakini wakuu hivi wazee wetu kesi kama hizi walikuwa wanazisolve vipi?
manake nimekuwa nikiambiwa 'unamwona fulani, baba yake bi fulani na sio baba yake unayemjua'.....ina maana haya mambo yapo tokea zamani...
sasa hapa tujaribu kama kuna wanaozifahamu hizo namna za kutanzua migogoro hii kijadi zaidi? Mi kwa kesi ninazojua, mtoto aliendelea kutambulika kuwa ni wa nyumba ile alipozaliwa....