Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
hivi kibaya ni kipi hapo? Kwamba mke wa mtu kacheat na kapata mimba...vipi kama angecheat na kutopata mimba? Hiyo ingekuwa sawa? Manake kuna mtu nimemsoma eti anashangaa kwa nn huyo mwanamke hakutumia kinga ya uzazi..as if ku-imply kama asingepata mimba ingekuwa ok