Msaada kwa mkaka

Hehehe Mbu kwanza mi ntapenda huyo mtu aniambie kama hayo majaribu alipewa au alilazimishiwa?Akisema alipewa ntamuuliza kwanini alikubali kupokea maana ilikua hiari yake.Nikimaliza namwambia aende tu maana mi nakataa kujaribiwa kwahiyo msamaha akatafute kwangine.
 

Got a similar case somewhere...unattended.
 
Ila jamani tuende mbele na kurudi nyuma watu tumekua wakali kweli kweli, ila tujiulize ni hao tu ndio wazinzi? tukishapata majibu tujifunze kutokana na hili

Mi hapa nalia kwa huyu mama kwanza

Huyu mama alitongozwa na mme wa mtu huku yeye akitambua kuwa ni mke wa mtu.

Akakubali kuvua nguo na kugalagazwa na mme wa mtu

Haitoshi akaamua kumpa yote jamaa akazamisha akaachia vitu kiumbe kimetoka.
 
Mi hapa nalia kwa huyu mama kwanza

Huyu mama alitongozwa na mme wa mtu huku yeye akitambua kuwa ni mke wa mtu.

Akakubali kuvua nguo na kugalagazwa na mme wa mtu

Haitoshi akaamua kumpa yote jamaa akazamisha akaachia vitu kiumbe kimetoka.

Hahahaha hii kesi ngumu kumesa asee
 
Mi ndio mbavu yangu moja sidhani kama iko salama lol. Ni kweli kabisa watabaki hawa wezi ambao 40 imefika


hahah Maty kumbe 'tupo' wengie eeh

sasa mbona hapa kuna baadhi ya watu wanatoa povu sana....mmm:gossip:
 
Mi hapa nalia kwa huyu mama kwanza

Huyu mama alitongozwa na mme wa mtu huku yeye akitambua kuwa ni mke wa mtu.

Akakubali kuvua nguo na kugalagazwa na mme wa mtu

Haitoshi akaamua kumpa yote jamaa akazamisha akaachia vitu kiumbe kimetoka.

Siku zote mwenye uamuzi wa mwisho katika kumegana kwa hiari huwa ni mwanamke...
 

Hapo kuna umuhimu wa kuwa na wake wengi?
 
Siku zote mwenye uamuzi wa mwisho katika kumegana kwa hiari huwa ni mwanamke...

Mama huyu mzinzi alikuwa na hiari ya kumkataa huyo mme wa mtu.

Inaonyesha alimpenda zaidi ya mme wake kama vp amwage mboga na ugali amkatae huyo mwanaume aungane na huyo mme aliye mtia mimba.
 
Ila jamani tuende mbele na kurudi nyuma watu tumekua wakali kweli kweli, ila tujiulize ni hao tu ndio wazinzi? tukishapata majibu tujifunze kutokana na hili

...mnh, nawe sasa unataka tuku report kwa Mods unaharibu topik. Hakuna mzinzi humu :A S 114:

hawa jamaa;
  • wamezini, mume hajui
  • wamezaa, mume hajui
  • familia ya mke wanajua ukweli
  • jamaa anadai mtoto wa 'mwenzake!'
  • mke hataki mumewe ajue
...Hii haikubaliki hata kwenye 'katiba' ya wazinzi (kama wamo humu.)
 
Ila jamani tuende mbele na kurudi nyuma watu tumekua wakali kweli kweli, ila tujiulize ni hao tu ndio wazinzi? tukishapata majibu tujifunze kutokana na hili

Maty my dear, si hao tu wazinzi na hii inaweza kutokea hata kwa mmoja wetu ni kwamba hapa JF watu wanawakilisha mawazo yao juu ya tukio husika. Binafsi siko kwenye ndoa, kwa udi na uvumba nimesikitishwa kwa hali hii especially hali ya huyo mtoto ambaye ataathirika na malezi kisa starehe ya wanandoa wezi.
Hamna mahali suala la kucheat limehalalishwa ndio mana watu wanafanya kwa siri..kikubwa zaidi ni tamaa za mwili..na hii mada ni funzo kubwa ukifikiria kiundani!..
 
mbona hakuomba ushauri kabla ya kwenda kulala na mke wa mtu?:embarassed2:
 

hahaha..mkuu kwani siku hizi hakuna mifugo? ipo tu, ile namna ya kusolve nadhani ilikuwa inaepusha shari...walau wazee wetu walikuwa wanaheshimika na busara zao...

maana kwa hivli busara isipotumika damu inaweza kumwagika na itakuwa hasara mara mbili

hapo kwenye blue., nareserve my comments...Lizzy atapajibu hapo...
 
Kuna kesi inaendelea mahakamani inafanana na kisa hiki." MWIZI" ANASHTAKI AWE NA HAKI NA MTOTO ATAKAYEZALIWA MAANA HAPO NI MIMBA TU HAJAZALIWA MTOTO! Mume na mke wanapinga vikali!

Usiombe uone visa kama hivi. Wakitoka mahakamani, mwizi anenda kivyake, mume na mke wanaenda nyumbani.Huko nyumbani kunawaka moto!

Kesi nyingine, mume alisafiri aliporudi akakuta mkewe yuko maternity leave na anayemlea ni mama mkwe - mama wa mwanaume ( mume)! Aliyemzalisha ni mdogo mtu! Mume alichokifanya ni kumchukua mkewe wakaondoka wakaenda kuishi sehemu nyingine na mama ( bibi wa mtoto) akabaki na mtoto!

Stay tuned.

Kwenye hili, ingekuwa ni mimi, ningedai talaka upesi sana maana mume akijua ni mauaji au masimango yasiyosemekana.
 


ha ha ha ha ha ha mkuu kumbe wazinzi nao wana katiba? lolz
 
Reactions: Mbu
Hapo kuna umuhimu wa kuwa na wake wengi?


Threesome ... King Mswati and 12th wife Nothando (left) and her alleged lover Minister Mamba

...Labda aisee, si unaona hata Mswati "alisaidiwa" na besti wake, tena waziri wa Sheria?
Jamaa kamtimua kazi, kisha akamuweka kizuizini Mkewe (labda asiendelee kuchakachuliwa!)
Mswati ana wake 12 aisee, Ukiwa na wake wengi hata wivu unapungua!
 

helo WoS.....Nimekumisss mami

hebu utakuja kutupa maendeleo ya hiyo kesi manake nimejikuta nacheka eti jamaa anadai haki hata kabla mtoto hajazaliwa...amejuaje ni wa kwake au tayari DNA?
 
Siku zote mwenye uamuzi wa mwisho katika kumegana kwa hiari huwa ni mwanamke...
Hii kesi inanikumbusha nilienda kijiji fulani kutafuta msichana wa kusaidia kazi, nikapewa africasti wa kizungu, kuuliza kulikoni mama akanipa story eti alikuwa analima shambani, akapita mzungu akasimama kujisaidia haja ndogo alipomuona akamwomba walale wote akampa zawadi na alf ishirini hivi. baada ya muda akajikuta mjamzito wala hakuwa na wasiwasi alijua ni ya mumewe tu.
Kuzaliwa akazaliwa huyo mzungu kasheshe likaibuka, unajua yule mama liambiwa atoe fine ya ng'ombe akasamehewa na familia ikaendelea kwa hiyo mtoto kamaliza la saba anatafutiwa kazi kama kawaida.sikumchukua mwenzangu

Huyu dada alikosea kitu kimoja tu, kumwambia yule jamaa< hivi angekaa kimya ingemcost nini? au ndio kujifanya anampenda sana, na kwa taarifa yake mtoto baba wa nyumbani akimkatalia huyo bwana ake hataweza kumchukua, sanasana atachargiwa kesi ya kuingilia ndoa ya watu, au amesahau kwamba kitanda hakizai haramu? Huyo mwanaume nae ambae ana mke anang'ang'ania mtoto ni Mwehu kabisa, ajiweke yeye mtu aje amdai mtoto kama atahimili, hata kama anajua ni wake angenyamaza tu.
 

Kweli i see jamaa wakikumegea wewe unacho fanya ni kumsusa
 

Wehu hawa wanataka kumtoa roho baba wa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…