Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kwenye hili, ingekuwa ni mimi, ningedai talaka upesi sana maana mume akijua ni mauaji au masimango yasiyosemekana.
Kuna kesi inaendelea mahakamani inafanana na kisa hiki." MWIZI" ANASHTAKI AWE NA HAKI NA MTOTO ATAKAYEZALIWA MAANA HAPO NI MIMBA TU HAJAZALIWA MTOTO! Mume na mke wanapinga vikali!
Usiombe uone visa kama hivi. Wakitoka mahakamani, mwizi anenda kivyake, mume na mke wanaenda nyumbani.Huko nyumbani kunawaka moto!
Kesi nyingine, mume alisafiri aliporudi akakuta mkewe yuko maternity leave na anayemlea ni mama mkwe - mama wa mwanaume ( mume)! Aliyemzalisha ni mdogo mtu! Mume alichokifanya ni kumchukua mkewe wakaondoka wakaenda kuishi sehemu nyingine na mama ( bibi wa mtoto) akabaki na mtoto!
Stay tuned.
Kwenye hili, ingekuwa ni mimi, ningedai talaka upesi sana maana mume akijua ni mauaji au masimango yasiyosemekana.
Got a similar case somewhere...unattended.
Hii kesi inanikumbusha nilienda kijiji fulani kutafuta msichana wa kusaidia kazi, nikapewa africasti wa kizungu, kuuliza kulikoni mama akanipa story eti alikuwa analima shambani, akapita mzungu akasimama kujisaidia haja ndogo alipomuona akamwomba walale wote akampa zawadi na alf ishirini hivi. baada ya muda akajikuta mjamzito wala hakuwa na wasiwasi alijua ni ya mumewe tu.
Kuzaliwa akazaliwa huyo mzungu kasheshe likaibuka, unajua yule mama liambiwa atoe fine ya ng'ombe akasamehewa na familia ikaendelea kwa hiyo mtoto kamaliza la saba anatafutiwa kazi kama kawaida.sikumchukua mwenzangu
Huyu dada alikosea kitu kimoja tu, kumwambia yule jamaa< hivi angekaa kimya ingemcost nini? au ndio kujifanya anampenda sana, na kwa taarifa yake mtoto baba wa nyumbani akimkatalia huyo bwana ake hataweza kumchukua, sanasana atachargiwa kesi ya kuingilia ndoa ya watu, au amesahau kwamba kitanda hakizai haramu? Huyo mwanaume nae ambae ana mke anang'ang'ania mtoto ni Mwehu kabisa, ajiweke yeye mtu aje amdai mtoto kama atahimili, hata kama anajua ni wake angenyamaza tu.
St.RR kweli mkuu?!! yani wewe uliiba au kuibiwa?got confused hapo🙂)
Ila haya masaibu yasikieni kwa wengine tu! Yakikukuta mtu unaweza kujikuta unafanya jambo utakalolijutia kwa maisha yako yote yaliyobaki....
Hii kesi inanikumbusha nilienda kijiji fulani kutafuta msichana wa kusaidia kazi, nikapewa africasti wa kizungu, kuuliza kulikoni mama akanipa story eti alikuwa analima shambani, akapita mzungu akasimama kujisaidia haja ndogo alipomuona akamwomba walale wote akampa zawadi na alf ishirini hivi. baada ya muda akajikuta mjamzito wala hakuwa na wasiwasi alijua ni ya mumewe tu.
Kuzaliwa akazaliwa huyo mzungu kasheshe likaibuka, unajua yule mama liambiwa atoe fine ya ng'ombe akasamehewa na familia ikaendelea kwa hiyo mtoto kamaliza la saba anatafutiwa kazi kama kawaida.sikumchukua mwenzangu
Huyu dada alikosea kitu kimoja tu, kumwambia yule jamaa< hivi angekaa kimya ingemcost nini? au ndio kujifanya anampenda sana, na kwa taarifa yake mtoto baba wa nyumbani akimkatalia huyo bwana ake hataweza kumchukua, sanasana atachargiwa kesi ya kuingilia ndoa ya watu, au amesahau kwamba kitanda hakizai haramu? Huyo mwanaume nae ambae ana mke anang'ang'ania mtoto ni Mwehu kabisa, ajiweke yeye mtu aje amdai mtoto kama atahimili, hata kama anajua ni wake angenyamaza tu.
hahah Maty kumbe 'tupo' wengie eeh
sasa mbona hapa kuna baadhi ya watu wanatoa povu sana....mmm:gossip:
Maty my dear, si hao tu wazinzi na hii inaweza kutokea hata kwa mmoja wetu ni kwamba hapa JF watu wanawakilisha mawazo yao juu ya tukio husika. Binafsi siko kwenye ndoa, kwa udi na uvumba nimesikitishwa kwa hali hii especially hali ya huyo mtoto ambaye ataathirika na malezi kisa starehe ya wanandoa wezi.
Hamna mahali suala la kucheat limehalalishwa ndio mana watu wanafanya kwa siri..kikubwa zaidi ni tamaa za mwili..na hii mada ni funzo kubwa ukifikiria kiundani!..
Not me...a buddy of mine....
No confusion tena...sawa BJ?
You good?
Ila haya masaibu yasikieni kwa wengine tu! Yakikukuta mtu unaweza kujikuta unafanya jambo utakalolijutia kwa maisha yako yote yaliyobaki....
Ila haya masaibu yasikieni kwa wengine tu! Yakikukuta mtu unaweza kujikuta unafanya jambo utakalolijutia kwa maisha yako yote yaliyobaki....
...Familia ya kiume na mke wa mwizi imekomaa inataka kumuona huyo mtoto. Mume wa dada hana ajualo. Nisaidieni kaka aanzie wapi, na familia ya mkaka mwizi na mdada ni marafiki toka udogoni..
Nawasilisha.
helo WoS.....Nimekumisss mami
hebu utakuja kutupa maendeleo ya hiyo kesi manake nimejikuta nacheka eti jamaa anadai haki hata kabla mtoto hajazaliwa...amejuaje ni wa kwake au tayari DNA?
...kujutia hapana, kesi kama hizi unatakiwa kufanya kitendo kitachoacha simulizi kwa miaka mingi ijayo.
We acha tu ni kama msiba, usikilizie kwa wengine...changamoto za mapenzi zinaweza kukukatiza maisha au kukufanya usiwe na hamu ya kuishi tena!!..
Pheew!! got you now, kumbe ni buddy wako..usikute hii ndio issue yenyewe,kidding!!
I'm gud, thanx..hope all is well with you too!!..NB: Don't cheat, learn from your buddy's incidence🙂))ha ha