CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
Anyway...nimeandika vya kutosha ngoja nimalizie hivi:
Wanaume: Mtafuneni sana mke wangu, ili mradi nisijue......Hilo litapita kushoto:
Wanawake: Njooni niwatafune (kama hamjaolewa), ila Mai waifu wangu asijue....sitaki kumuumiza
Wanaume: Mmimbisheni mke wangu, nitawalelea wanenu, ili mradi nisijue.......Hilo litapita kushoto
Wanawake: Njooni niwamimbishe (kama hamjaolewa) ila maiwaifu wangu asijue.....sipendi kumuumiza
Wanaume: ONYO: Msithubutu kuja kuwadai watoto wenu mliomzalisha mke wangu, ambao wananiita baba!
Naogopa sana murder case, Msinitie majaribuni.
Na hili ndilo neno la Babu ODM Bigi braza Asprin
Tumshukuru Invizibo
Akija aliyeolewa na akakudanganya hajaoa, and then akadaka kitu utafanyaje???
Utajiua au?