sijampata ndugu yangu. Mi nipo chuon moshi na ninasumbuliwa na tatizi la tinnitus ambapo nmeshauriwa kurud ifakara so nina mpango wa kuja jun na ndio maana natafuta mawasilianocjajua kama umempata au lah! ila mi nipo zangu ifakara kwa mishe kama wiki 2 hv sa nifuatilia 2tajua 2fanyeje!
Unaumwa nini ndugu yangu?
Kama una kaswende, gono au claymadia kuna dr namfahamu anaweza akakusaidia kama sivyo unaweza kuwatafuta madr wengine maeneo ya hapo unapoishi.