Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
kwanza salaaam jaman ninashida sana na Dr.Omary ambaye mara ya mwisho alinitibu 2008 pale St.Francis hosp Ifakara ila kwa sasa sijui yupo wapi maana nimejaribu website ya Hospitali nimeshindwa naomba mtu yeyote anayemfaham anitumie namba yake au namba ya mfanyakazi yeyote wa st.Francis