Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Ni jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?