Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Ipo mkuu. Mpeleke kwa Mwamposa akanyage dawa ya mafuta atapona.Haipo hiyo dawa
Kwa kweli amefikia hatua mbaya sana; aanze tu kuandika wosia asije kuacha ndugu wanagombea mali kwa uzembe wake wa kutokuacha wosia.Acha pombe mkuu utakufa na kama umeshafikia hiyo hatua,usipoacha pombe anza kuandaa wosia kabla ya huu mwaka kuisha usije acha ugomvi wa mirathi.
Fotoa lete picha yake ili tuitathimini na kutoa ushauri wa kumsaidia.Ni jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?
Kama natetemeka ningetype? Shenzi.Kwani ukisema ni wewe kuna shida gani?
Mwajiri ye kamwambia aendelee kupombeka tu mpaka akili imkae sawa.Kwani mwajiri wake anasemaje?
Ataharisha mpaka utumbo.Mwambie atafune chaki vipande viwili, kutwa mara3.
Asipokunywa hapati usingizi
RehabilitationNi jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?
🙏Kama natetemeka ningetype? Shenzi.
Umeweza kutype vp we mwalimu wa civics?Ni jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?
Dah!.... hatari hii... DR Mambo Jambo hii ni dalili ya nini?Ni jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?
Ni jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Dalili za Kiharusi hizo lo