Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kitu gani hii mkuu?Hiyo iko vizuri
Kwakua ina technology ya kisasa kwa bei nafuu
Hata sauti yake ni nzuri pia
NB ISIKILIZE NDIPO UNUNUE.
Sound barNi kitu gani hii mkuu?
Inauzwaje na ina Watts ngapi? Nielekeze niichukue mie uwa nafagilia sana brands mpya sokoni uwa wanatoa vitu bora sana.Wakuu naomba experience yenu na hii brand, maana nisije nikajichanganya!
Naweza kukipata playstore?Sound bar
Ni kifaa cha kukuza nguvu ya sauti in good technology
mkuu umetumia cha wapi kwani leo😂Naweza kukipata playstore?
Inauzwaje na ina Watts ngapi? Nielekeze niichukue mie uwa nafagilia sana brands mpya sokoni uwa wanatoa vitu bora sana.
Juzi kati nilijilipua fridge kubwa double door lenye water dispenser aina ya MAK kutoka Uturuki na linapiga kazi mwanzo mwenga
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Ni subwooferNaweza kukipata playstore?
Hivi zinakuaga na mziki mziko kama ule wa ule wa gari?Sound bar
Ni kifaa cha kukuza nguvu ya sauti in good technology
Sony kwa stereo na mziki lainiFor music nenda kwa sony tu.
Sony zamani siku hizi wanalipua tu muziki ni JBL na BOSEFor music nenda kwa sony tu.
Pengine hua kidogo kuzidi sp100 ileHivi zinakuaga na mziki mziko kama ule wa ule wa gari?